kintu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 541
- 133
Mimi nimekuwa nikinunua magari mtandaoni kutoka Japan,lakini mara nyingi nimekuwa nikikutana na changamoto za hapa na pale na pia nina jamaa zangu na marafiki zangu wametapeliwa kwa njia tofauti tofauti au
- Kubadilishiwa gari na kutumiwa gari hisiyo uliyochagua.
- Kutuma hela baadae husitumiwe gari n.k
Hivyo basi ningependa tuelimishane kuhusu yaguatayo:-
1. Watu tupeane njia wanazofanya au ikibidi kuweka na kampuni ambazo zimekuwa zikitapeli watu .
2. Je, kuna njia gani mbadala ya kuweza kurudisha pesa iliyokwisha tumwa kwa muuzaji?
3. Je, kupitia barozi zetu au za Japan unaweza kupata msaasada wowote?
4. Ni njia zipi wamekuwa wakitumia kutapeli wakati wa kununua?
5. Je, ni njia zipi unazitumia kuakikisha unatuma/kununua kwa mtu/ kampuni sahihi?
Naomba kuwakilisha !
- Kubadilishiwa gari na kutumiwa gari hisiyo uliyochagua.
- Kutuma hela baadae husitumiwe gari n.k
Hivyo basi ningependa tuelimishane kuhusu yaguatayo:-
1. Watu tupeane njia wanazofanya au ikibidi kuweka na kampuni ambazo zimekuwa zikitapeli watu .
2. Je, kuna njia gani mbadala ya kuweza kurudisha pesa iliyokwisha tumwa kwa muuzaji?
3. Je, kupitia barozi zetu au za Japan unaweza kupata msaasada wowote?
4. Ni njia zipi wamekuwa wakitumia kutapeli wakati wa kununua?
5. Je, ni njia zipi unazitumia kuakikisha unatuma/kununua kwa mtu/ kampuni sahihi?
Naomba kuwakilisha !