MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba