MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Haya mkuu!Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
unaweza kutupatia mwandiko wa JPMSio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
Tena Mwalimu Nyerere kaandika juzi tarehe 02-08-2021
Soma vizuri hio sahihi hapo mwisho.Tena Mwalimu Nyerere kaandika juzi tarehe 02-08-2021
Haiwezekani hiki kiingereza kikawa cha Kikwete!😳 😳😳Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
Unaonyesha vitu vingi sana kuanzia tabia , uwezo wa kufikiria na uzoefuhivi miandiko huwaga inasaidia nini labda
enzi zao huu ni mwandiko wa kutongozea demu akakukubalia kabisa. La ila kikwete itakuwa keshawala wengi sana.Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba
Sio kila mtu amewahi kuuona mwandiko wa rais wake, ila kwa sisi wachache ambao kwa wakati fulani tumepata kuwasiliana na rais mstaafu Kikwete kwa njia ya maandishi basi tunaufahamu fika mwadiko wa JK.
Hapa chini ni mwandiko wa JK alipomwandikia rais wa Uganda ndugu Yoweri Museveni.
View attachment 1914161
Muda sio mrefu nitawaletea mwandiko wa Mama Samia, Mbowe na Lipumba