Je, una lipi la kuishauri Simba kupunguza idadi ya goli kesho?

Watacheza ucku sana
Dah! Kama watacheza usiku sana, wanaweza kuangushiwa mvua ya magoli. Hivyo wapaki tu basi. Maana hakuna namna nyingine.

Historia haiwabebi kabisa kumfunga Mwarabu kwao. Wangekuwa kaka zao Yanga, ningewadhamini! Ila siyo wao.
 
Dah! Kama watacheza usiku sana, wanaweza kuangushiwa mvua ya magoli. Hivyo wapaki tu basi. Maana hakuna namna nyingine.

Historia haiwabebi kabisa kumfunga Mwarabu kwao. Wangekuwa kaka zao Yanga, ningewadhamini! Ila siyo wao.
Kwamba wataanza sinzia
 
Simba itafanya vizuri tu: Kuna ya aina mbili kwenye mchezo huo.

(1) Simba atapata bao kwenye dakika ya 67 na kusababisha mchezo uamuliwe kwa matuta. Simba atapoteza penalty mbili (moja ikiwa ni uzembe wa mpigaji mwenyewe kwa vile itagonga mwamba), na Al-Ahly atapoteza Penalty moja, na hivyo Simba kutolewa nje ya mashindano hayo kwa kufa kiume.

(2) Simba itaigomea Al-Ahly kupata bao na mchezo kuisha kwa droo ya 0-0, na hivyo simba kutolewa nje ya mashindano ikiwa imekufa kiume kwa kuwahemesha Al-Alhy hadi kumaliza na droo hiyo.
 
Aaahaaa
 
Ngoja tuone kama itakuwa hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…