Je, una lipi la kuishauri Simba kupunguza idadi ya goli kesho?

Je, una lipi la kuishauri Simba kupunguza idadi ya goli kesho?

Watacheza ucku sana
Dah! Kama watacheza usiku sana, wanaweza kuangushiwa mvua ya magoli. Hivyo wapaki tu basi. Maana hakuna namna nyingine.

Historia haiwabebi kabisa kumfunga Mwarabu kwao. Wangekuwa kaka zao Yanga, ningewadhamini! Ila siyo wao.
 
Dah! Kama watacheza usiku sana, wanaweza kuangushiwa mvua ya magoli. Hivyo wapaki tu basi. Maana hakuna namna nyingine.

Historia haiwabebi kabisa kumfunga Mwarabu kwao. Wangekuwa kaka zao Yanga, ningewadhamini! Ila siyo wao.
Kwamba wataanza sinzia
 
Simba itafanya vizuri tu: Kuna ya aina mbili kwenye mchezo huo.

(1) Simba atapata bao kwenye dakika ya 67 na kusababisha mchezo uamuliwe kwa matuta. Simba atapoteza penalty mbili (moja ikiwa ni uzembe wa mpigaji mwenyewe kwa vile itagonga mwamba), na Al-Ahly atapoteza Penalty moja, na hivyo Simba kutolewa nje ya mashindano hayo kwa kufa kiume.

(2) Simba itaigomea Al-Ahly kupata bao na mchezo kuisha kwa droo ya 0-0, na hivyo simba kutolewa nje ya mashindano ikiwa imekufa kiume kwa kuwahemesha Al-Alhy hadi kumaliza na droo hiyo.
 
Habari wakulungwa

Japo mechi ya kesho tunajua kuwa Simba itakandwa heavyweight na Al ahly lakini hapa ni mahususi Kwa ajili ya kuishauri technical bench Nini kifanyike Ili kupunguza idadi ya magoli ambayo Simba itafungwa.....najua hata nyie Makolo mnajua kuwa hamtoboi

Ushauri wangu
Simba kesho waende kupaki basi mwanzo mwisho, ....kama nilivyosema kuwa Simba lazima wakandwe kesho ...so Ili kuepuka kukandwa magoli mengi wanatakiwa kupaki basi ...ili litoshe tu Hilo goli Moja ...bila ya hivyo naona Simba atakula goli zaidi ya 5G

Najua management ya Simba inapitia humu jf na haitadharau ushauri huu

Aaahaaa
 
Picha haifunguki mkuu
weka mshahara wako kwa yanga upige kibunda mwanayanga.
1712255723878.png
 
Simba itafanya vizuri tu: Kuna ya aina mbili kwenye mchezo huo.

(1) Simba atapata bao kwenye dakika ya 67 na kusababisha mchezo uamuliwe kwa matuta. Simba atapoteza penalty mbili (moja ikiwa ni uzembe wa mpigaji mwenyewe kwa vile itagonga mwamba), na Al-Ahly atapoteza Penalty moja, na hivyo Simba kutolewa nje ya mashindano hayo kwa kufa kiume.

(2) Simba itaigomea Al-Ahly kupata bao na mchezo kuisha kwa droo ya 0-0, na hivyo simba kutolewa nje ya mashindano ikiwa imekufa kiume kwa kuwahemesha Al-Alhy hadi kumaliza na droo hiyo.
Ngoja tuone kama itakuwa hivyo
 
Back
Top Bottom