Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani 5imba badala ya kushinda 4 kwa 3 akashinda 4 kwa 1, hapo hajapunguza magoli ya kufungwa?Kupunguza magoli! Una uhakika watafungwa?
Wapigwe tu kama ngoma.Habari wakulungwa
Japo mechi ya kesho tunajua kuwa Simba itakandwa heavyweight na Al ahly lakini hapa ni mahususi Kwa ajili ya kuishauri technical bench Nini kifanyike Ili kupunguza idadi ya magoli ambayo Simba itafungwa.....najua hata nyie Makolo mnajua kuwa hamtoboi
Ushauri wangu
Simba kesho waende kupaki basi mwanzo mwisho, ....kama nilivyosema kuwa Simba lazima wakandwe kesho ...so Ili kuepuka kukandwa magoli mengi wanatakiwa kupaki basi ...ili litoshe tu Hilo goli Moja ...bila ya hivyo naona Simba atakula goli zaidi ya 5G
Najua management ya Simba inapitia humu jf na haitadharau ushauri huu
Utajua hujui,tusubiri saa saba leoSimba hii ya kina saido[emoji23]
Saba ni kesho. Ikifika sita kamili cku inabadilika.Utajua hujui,tusubiri saa saba leo
Thanks kwa marekebishoSaba ni kesho. Ikifika sita kamili cku inabadilika.
We utanikimbia,nakujuaNtakupigia ....no Yako nnayo
Uzuri wake usiku wa deni haukawii kucha,saa 2 hiyooooooooooo,🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sijawahi [emoji23][emoji23]