Tushirikishane
Member
- Aug 9, 2016
- 13
- 67
Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye Nape Nnauye amekuwa akishirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Wananchi na Viongozi wa Manispaa katika kuleta maendeleo jimboni kwake kupitia mradi wa Tushirikishane.
Washiriki wa Warsha ya Tushirikishane Mtama katika picha ya pamoja na timu ya Jamii Media baada ya kumalizika kwa warsha ya siku tatu ya mradi huo.
Kufanikiwa kwa maazimio haya ya maendeleo kunategemea pia mchango wa wadau mbalimbali wa maendeleo ndani na nje ya Jimbo la Mtama.
Je una maoni yeyote kwa Mbunge kuhusu utekelezaji wa maendeleo jimboni mwake?
Una swali lolote kwa Mbunge? Unapendezewa na namna mbunge wako anafanya kazi?
Kwa mjadala wa Mradi wa Tushirikishane Jimboni Mtama, tembelea => TUSHIRIKISHANE - Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Mtama
Washiriki wa Warsha ya Tushirikishane Mtama katika picha ya pamoja na timu ya Jamii Media baada ya kumalizika kwa warsha ya siku tatu ya mradi huo.
Kufanikiwa kwa maazimio haya ya maendeleo kunategemea pia mchango wa wadau mbalimbali wa maendeleo ndani na nje ya Jimbo la Mtama.
Je una maoni yeyote kwa Mbunge kuhusu utekelezaji wa maendeleo jimboni mwake?
Una swali lolote kwa Mbunge? Unapendezewa na namna mbunge wako anafanya kazi?
Kwa mjadala wa Mradi wa Tushirikishane Jimboni Mtama, tembelea => TUSHIRIKISHANE - Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Mtama