Je, una mtaji wa elf 70?

Je, una mtaji wa elf 70?

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Nenda mjini kwenye maduka ya jumla, nunua yeboyebo fasion za kisasa, yebo 1 kwa bei ya jumla utainunua kwa sh elf 2, wewe mtaani kwako utaiuza elf 2500,-ukiuza pea 10 maana yake una faida ya elf 5, mimi nilijaribu wakati nikiwa chuo mwaka jana ila nikaishiwa mtaji baada ya kulipa ada, saivi elfU 70 imenipiga chenga, kila ninaye muomba, anakujibu, hali ni ngumu.

Jaribu ndugu yangu
 
Nenda mjini kwenye maduka ya jumla,nunua yeboyebo fasion za kisasa, Yebo 1 kwa bei ya jumla utainunua kwa sh elf 2, wewe mtaani kwako utaiuza elf 2500,-ukiuza pea 10 maana yake una faida ya elf 5,mimi nilijaribu wakati nikiwa chuo mwaka jana,ila nikaishiwa mtaji baada ya kulipa ada,saiv elf 70 imenipiga chenga,kila ninaye muomba,anakujibu,hali ni ngumu,dah!!Jaribu ndg yangu
Kuwa serious jamaa! Huna elfu 70! Na una smartphone!
 
Wasomi wa sikuhizi mnatukatisha tamaa yani pamoja na elimu yako hiyo ndio bussiness idea yako?
Kumbe mtu ukishafika chuo hauruhusiwi kufanya biashara ndogo ndogo! Unatakiwa ufanye mabiashara makubwa makubwa ya kukaa kwenye kiyoyozi
 
Kumbe mtu ukishafika chuo hauruhusiwi kufanya biashara ndogo ndogo! Unatakiwa ufanye mabiashara makubwa makubwa ya kukaa kwenye kiyoyozi
Au anataka tuendelee kutembeza Bahasha maofisn
 
Au anataka tuendelee kutembeza Bahasha maofisn
Si ndo hapo, yani kuna watu wamekariri njia ya kufanikiwa kwenye maisha. Formula za kufanikiwa zipo nyingi inategemea na muhusika kachagua ipi
 
Wasomi wa sikuhizi mnatukatisha tamaa yani pamoja na elimu yako hiyo ndio bussiness idea yako?
Ndo hivyo km nyumbani kyna hali mbaya kiuchumi unadhani MTU anaweza kuwa Na business idea ya 10M ndg ? Km mtu alizaliwa familia tajiri siyo wote yan.
 
Nenda mjini kwenye maduka ya jumla, nunua yeboyebo fasion za kisasa, yebo 1 kwa bei ya jumla utainunua kwa sh elf 2, wewe mtaani kwako utaiuza elf 2500,-ukiuza pea 10 maana yake una faida ya elf 5, mimi nilijaribu wakati nikiwa chuo mwaka jana ila nikaishiwa mtaji baada ya kulipa ada, saivi elfU 70 imenipiga chenga, kila ninaye muomba, anakujibu, hali ni ngumu.

Jaribu ndugu yangu
Nme ku pm mkuu
 
Kijana binafsi Nime penda mawazo yako,, uko vizur na Nina amini Yupo mtu Alikua hajui kama hii pia Ni fursa ila tu wana ogopa Ku thubutu.


Kua chuo haimaanishi ufanye kazi ofisini, no hata kujiajiri kwa kuanzisha kitu kidogo ila uka kifanya kwa kujiamini na kwa nia moja una toka pia.

Binafsi naamini kua wapo wengi wanye mitaji zaidi ya huo unao hitaji ila hawaoni watu waku Fanya nao kazi,, so Waki kupata mtu kama wewe wana kusaidia mtaji na kufanya na wewe kazi.

Cha muhimu kua muaminifu
 
Back
Top Bottom