Je una mume,mke mzinzi,mwizi,mlevi!!!wahi haraka


digna usikate tamaa muda sahihi aujatimia ukifika utakuwa shahidi wa kulala kanisani kumshukuru mungu
 
Kaa nae mtafakari tatizo lilipo anzia, vinginevyo utazunguka sana kwenye kila kanisa na mwisho utaenda piga ramli kumtafuta mchawi. Kama unamwamini Mungu jifungie chumbani kwako umweleze vile unateseka, unavyojisikia. For sure ther is a simple solution. Usiwaeleze watu, leo tun manabii wengi sana wa uongo. Best of luck.
 
Anapiga finger ... Ah ah . Ni ugonjwa wa walio wengi
 
Anapiga finger ... Ah ah . Ni ugonjwa wa walio wengi

Ndio maana wachaga wakioana wanaimba nyimbo zao na katika hilo kila mtu anamshika mwenzao uliza src ni nini???
walikuwa wakiimba kwenye harusi wanapigana finga wakaona dawa ni kushikana tu mikono mpaka mwisho MC anawatimua na ukiangalia wakati wanatimuliwa bado wanaangalia chini kama wamedondosha ama la hela yoyote..dawa ya MUME mchaga utakuwa na adabu na wizi wa Ndoa
 
mnh,bwana-mungu aliona huyo mumewe ni kikwazo kwa yeye getrude kufikisha neno lake ndio maana wakaachana jamani,munashambulia mama wa watu bure....nani kasema kuwa na raha ya kweli,ni lazima uwe ndoani tu???
mungu awabariki!!
leo nimekaa kiupako zaidi....:teeth::teeth::teeth::whoo:
 






 

Ye people of little FAITH!
 
Huyu mama wa kipogoro toka Mahenge Mlungu chibidu arudiane na mumewe ndo tutaamini,vinginevyo aache usanii wake

Chipukizi nakugongea senks moja kwa hiyo avatar yako??? Maeneo gani haya mkuu?? au ndo michokeni B??
 

Fab upako wako umetulia mbaya.

Naona umempaka maaza vibaya hongera kwa kuwa mtaalam wa mipako...tehe teheee
 
:smash::smash::smash: little faith????! Acheni masikhara wenzenu wanapokuwa kwenye shidaaa!!
 
Kabla yayote mch kiongozi atuonyeshe mume kwanza!

Mmewe anaitwa Kenneth Ford Rwakatare,
ni Mhasibu mwenye ACCA, ana Audit Firm yake inaitwa Trion & Co na Consulting firm inaitwa Kaka Advisory Service. Ofisi yake iko Mtaa wa Samora opposite na ilipokuwa Salamander.

Anatoka Kagera, Wilaya ya Muleba, Kijiji cha Itoju, Kata ya Izigo, karibu na kambi ya jeshi ya Kaboya.
Kwa Dar es salaam, anakaa Kigamboni, Mikadi. Ni mjasiria mali mzuri sana; na anakula ulabu kwa kwenda mbele.

Wamebahatika kupata watoto kadhaa. First born wao anaitwa Kellen na ndiye mmiliki wa shule ya East Africa Internationa School iliyopo Mikocheni.

Kisingizio Kingine? Habari ndiyo hiyo.
 
 
Mungu yupi aliyetaka kutenganisha ndoa ya mchungaji!????
I believe in JESUS na yeye pekee anaweza yoote na si kwenda kwa huyo mama mwanadamu umepewa nguvu na uwezo wa kumwendea MUNGU mojakwamoja. bila kupitia kwa mwanadamu. the problem tunaamini watu na si MUNGU!
 

Hakuna kupanda mbegu huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…