pdiddy mie nilishachoka. Niliomba weee, mifungo yoootee, maombi kila aina lakini ndio kwanzaaaa! Kila miaka inavyokwenda mbele, anazidi kuwa na hizo tabia ulizozitaja hapo juu. Sijui nifanyeje maana kuja kwenye hayo maombi nimeshachoka hakuna lililofanyika hayo aina hiyo nilishafanya tena kwa moyo wote na mtu iko vile vileeee! :embarrassed:
Kaa nae mtafakari tatizo lilipo anzia, vinginevyo utazunguka sana kwenye kila kanisa na mwisho utaenda piga ramli kumtafuta mchawi. Kama unamwamini Mungu jifungie chumbani kwako umweleze vile unateseka, unavyojisikia. For sure ther is a simple solution. Usiwaeleze watu, leo tun manabii wengi sana wa uongo. Best of luck.PDiddy mie nilishachoka. Niliomba weee, mifungo yoootee, maombi kila aina lakini ndio kwanzaaaa! Kila miaka inavyokwenda mbele, anazidi kuwa na hizo tabia ulizozitaja hapo juu. Sijui nifanyeje maana kuja kwenye hayo maombi nimeshachoka hakuna lililofanyika hayo aina hiyo nilishafanya tena kwa moyo wote na mtu iko vile vileeee! :embarrassed:
Anapiga finger ... Ah ah . Ni ugonjwa wa walio wengi
Yawezekana wakati unaoa uliona kabisa ametoka kwa mungu gafla shetwani akachukua nafasi ..sasa basi suluhisho sio kuachana ama kumuacha yupo mungu anaeweza..kanisa la assemblies of god mikocheni b limeandaa maombi ya kufunga siku tatu kuanzia leo na jioni ukiwa na muda karibu kwenye ibada kukataa na kuuvvunja kila ngome za adui zikiwemo ulevi wizi uzinzi kwa wanandoa na wasio wanandoa...
Yawezekana mkeo anakupiga finga sana wakati ukienda kuoga na kutotkana na kupenda unashindwa kumwambia mkewangu hizi pesa amechukua panya huyu anaezunguka ndani ama lah.kibaya yawezekana umesikia ana katoto kako form six azania anakasomesha ndicho kanamliwaza..lipo jibu ..njoo uombewe mungu atamfungua kutoka vifungo vya kuzimu
karibuni na wote mnakaribishwa
kingilio
bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Anapiga finger ... Ah ah . Ni ugonjwa wa walio wengi
PDiddy mie nilishachoka. Niliomba weee, mifungo yoootee, maombi kila aina lakini ndio kwanzaaaa! Kila miaka inavyokwenda mbele, anazidi kuwa na hizo tabia ulizozitaja hapo juu. Sijui nifanyeje maana kuja kwenye hayo maombi nimeshachoka hakuna lililofanyika hayo aina hiyo nilishafanya tena kwa moyo wote na mtu iko vile vileeee! :embarrassed:
Huyu mama wa kipogoro toka Mahenge Mlungu chibidu arudiane na mumewe ndo tutaamini,vinginevyo aache usanii wake
mnh,bwana-mungu aliona huyo mumewe ni kikwazo kwa yeye getrude kufikisha neno lake ndio maana wakaachana jamani,munashambulia mama wa watu bure....nani kasema kuwa na raha ya kweli,ni lazima uwe ndoani tu???
mungu awabariki!!
leo nimekaa kiupako zaidi....:teeth::teeth::teeth::whoo:
Kabla yayote mch kiongozi atuonyeshe mume kwanza!
mnh,bwana-mungu aliona huyo mumewe ni kikwazo kwa yeye getrude kufikisha neno lake ndio maana wakaachana jamani,munashambulia mama wa watu bure....nani kasema kuwa na raha ya kweli,ni lazima uwe ndoani tu???
Kwa hio mama L akihitaji pumziko la moyo anaenda kwa nani? naamnisha kukutana kimwili na mwanaume kwani yy kama mwanadamu yeyote anauhitaji huo, tena anakula vizuri yulee da sasa ma protini s mwilini yanajaa?
Mungu yupi aliyetaka kutenganisha ndoa ya mchungaji!????mnh,bwana-mungu aliona huyo mumewe ni kikwazo kwa yeye getrude kufikisha neno lake ndio maana wakaachana jamani,munashambulia mama wa watu bure....nani kasema kuwa na raha ya kweli,ni lazima uwe ndoani tu???
mungu awabariki!!
leo nimekaa kiupako zaidi....:teeth::teeth::teeth::whoo:
Yawezekana wakati unaoa uliona kabisa ametoka kwa mungu gafla shetwani akachukua nafasi ..sasa basi suluhisho sio kuachana ama kumuacha yupo mungu anaeweza..kanisa la assemblies of god mikocheni b limeandaa maombi ya kufunga siku tatu kuanzia leo na jioni ukiwa na muda karibu kwenye ibada kukataa na kuuvvunja kila ngome za adui zikiwemo ulevi wizi uzinzi kwa wanandoa na wasio wanandoa...
Yawezekana mkeo anakupiga finga sana wakati ukienda kuoga na kutotkana na kupenda unashindwa kumwambia mkewangu hizi pesa amechukua panya huyu anaezunguka ndani ama lah.kibaya yawezekana umesikia ana katoto kako form six azania anakasomesha ndicho kanamliwaza..lipo jibu ..njoo uombewe mungu atamfungua kutoka vifungo vya kuzimu
karibuni na wote mnakaribishwa
kingilio
bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee