chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Eeehee mjusi huyo hapo kwenye kiatu chako
Naogopa sana mjusi aseee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naogopa sana mjusi aseee
Hahaah, kwa nini kenge mkuu? Ashawah kukufanyia kitu mbaya.. nn...!?Kwa kweli kitu kinachonisumbua ni pumzi sina asthma
Ila kila sehemu nikiingia kama madirisha hayako wazi panic inaanza
Basi lililojaa watu nashuka
Chumba lazima dirisha liwe wazi kwa weather zote
Kingine ni kenge huyu mnyama bora niamke nyoka yuko chumbani kuliko Kenge
@Behaviorist sijui bado yupo kifungoni...!? Angekushangaa sana leo.Nina allergies na mademu wasio na chura
Niliacha kusoma MD kwa ajili ya hi kituNamshukuru Mungu sijawahi kua na allerg na kitu, nakula kila kitu kasoro sumu.
Zaidi huwa nasisimka mwili na na vinyweleo kusimama nikiona vitundu ....tryphobia
Kuna karaha fulani kanakuja hivi mwili ukisisimka[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Em tuone wangapi mnayo tryphobia [emoji12]View attachment 1734061View attachment 1734065
Astra phobia. I have extreme fear to thunderstorms and lightening. Nilipokuwa shule ya msingi early 2000's radi ilimuua mwalimu akiandika ubaoni. Na siku nyingine pia mti mbichi upenuni mwa nyumbani ulipigwa radi ukakauka hapo hapo kesho yake tukaufanya kuni. Matukio hayo yamenifanya niwe mwoga mno wa radi.
Hukutaka msisimuko [emoji16]Niliacha kusoma MD kwa ajili ya hi kitu
kwa hyo huwa unaogopa hata kupanda kitandani?Nina Acrophobia aargghh[emoji37]
Wanawake mnaphobia za ajabu mjusi, mende, chura.Naogopa sana mjusi aseee
Sometimes hawana adabu hawa wadudu, utakuta anakurupuka anakimbilia kati kati ya mapaja akidhan ndo mafichoni 😀 😀 😀Wanawake mnaphobia za ajabu mjusi, mende, chura.
kwa hyo huwa unaogopa hata kupanda kitandani?
Hahaah, kwa nini kenge mkuu? Ashawah kukufanyia kitu mbaya.. nn...!?
Duuhh, nyama yake tena!? Ulikulaje sasa wakat una phobia nae? Au ile nyama yake ya kutetemeka ndo imekuletea phobia?Hapana mkuu ni ile sura yake tu
Ila nimewahi kula nyama yake
Nyama inatetemeka masaa hata uipike namna gani