Je, una mzio (allergy) au uoga (phobia) na kitu gani?

Je, una mzio (allergy) au uoga (phobia) na kitu gani?

Mimi nina allergy na mdudu chura nikimuona mwili unasisimka nikiwa nimeshiba naweza kurudisha chenji, mm muoga sana wa kitu sex hunichukua muda kuwa confortable, mbaya zaid ikiwa ni ngono zembe nikiwa simjui muhusika, ndio maana nawashangaa wanaolala na mwanamke anaejua kabisa ni bitch mm ata siwez simamisha kabisa
 
Mimi nina allergy na mdudu chura nikimuona mwili unasisimka nikiwa nimeshiba naweza kurudisha chenji, mm muoga sana wa kitu sex hunichukua muda kuwa confortable, mbaya zaid ikiwa ni ngono zembe nikiwa simjui muhusika, ndio maana nawashangaa wanaolala na mwanamke anaejua kabisa ni bitch mm ata siwez simamisha kabisa
Utakuwa unaogopa either kuambukizwa au kufumaniwa mkuu
 
Sasa unapataje pisi kali mkuu kama unaogopa kuhonga?
Ngolowanje zinanisaidia sana(maneno mengi).... Mi ni zaidi ya mwanasiasa yani akikubali niongee tu ameisha
.... Nshaitoa pisi kutoka Kibamba hadi Sinza nkaipiga show alafu sikuipa hata mia
Maji niliyonunua mie na yeye alikunywa hayohayo
 
Sasa unapataje pisi kali mkuu kama unaogopa kuhonga?
Ngolowanje zinanisaidia sana(maneno mengi).... Mi ni zaidi ya mwanasiasa yani akikubali niongee tu ameisha
.... Nshaitoa pisi kutoka Kibamba hadi Sinza nkaipiga show alafu sikuipa hata mia
Maji niliyonunua mie na yeye alikunywa hayohayo
 
Sasa unapataje pisi kali mkuu kama unaogopa kuhonga?
Ngolowanje zinanisaidia sana(maneno mengi).... Mi ni zaidi ya mwanasiasa yani akikubali niongee tu ameisha
.... Nshaitoa pisi kutoka Kibamba hadi Sinza nkaipiga show alafu sikuipa hata mia
Maji niliyonunua mie na yeye alikunywa hayohayo
 
Back
Top Bottom