Je, unaamini kuwa uchawi upo?

Mimi mwenyewe ni mchawi walahi!
Hahahaha
That’s all!
 
Kama unaamini mungu yupo huwezi kusema uchawi haupo utakuwa ni ujinga mkubwa mno
 
Kama uchawi upo mbona hatuoni wakiwa na maendeleo?,ukifuatilia wengi wao hao wanaoitwa wachawi ndio wanamaisha magumu. Na kama uchawi upo unawasaidia nini? Lol
Una wasaidia kukuhalibia maisha yako maana wanapo kuloga ukaumwa au kukutupia mikosi ndo furaha yao
 
Kwa wasema kuwa uchawi upo ila wachawi hawana maendeleo au haupo kabisa?

Tatizo lako mkuu unataka uchawi wa maendeleko
Wakati siku zote mchawi haendelei
Na hajishughulishi kazi yake ni kumhalibia mtu anaye jishughulisha ili naye asiendelee abaki kama mchawi
 
kwani mtoa mada hujasoma hata utamaduni wa Mtanzania au Afrika ndani yake kuna uchawi. kama huamini kuna uchawi basi nipm majina yako matatu mama matatu correctly, then ulete mrejesho hapa baada ya muda
 
Nimeipenda hii, lkn nahisi kama una vitu zaidi ya hivi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]babu yangu alinisimulia hiki kisa kipindi yeye akiwa mlinzi, kumbe muhusika ndo wewe!!!!! anadai alikimbia kama rocket launcher
 
Uchawi (kwa Kiingereza "Witchcraft") ni nguvu zinazotumiwa na watu wenye maarifa maalumu yasiyo ya kisayansi katika jamii nyingi duniani (zikiwemo za Afrika, Asia, Ulaya n.k.), ingawa kuna tofauti nyingi kulingana na mahali au utamaduni.
Lengo lake ni kujaribu bahati ya mtu na kujilinda na maadui wengine kimazingara, au kwa ajili ya kujifurahisha, japo wenye imani potofu hulichukulia maanani na kupandikiza chuki kwa ndugu jamaa hata jirani kuwa ni mchawi.

Witchcraft or witchery broadly means the practice of and belief in magical skills and abilities exercised by solitary practitioners and groups.

Uchawi upo na watu wanaufanya sana. Cha msingi inategemeana na imani yako katika hili. Kwahiyo serikali yetu haijarasmisha hiyo imani ya kichawi kwa kuhofia mkanganyiko kwa jamii, Pia kuuthibitisha au ushahidi wake ni mgumu kwani ni mazingara fulani
 
kwani mtoa mada hujasoma hata utamaduni wa Mtanzania au Afrika ndani yake kuna uchawi. kama huamini kuna uchawi basi nipm majina yako matatu mama matatu correctly, then ulete mrejesho hapa baada ya muda
Jamaa amekuPM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…