Je, unaamini kuwa uchawi upo?


Je uchawi upo au haupo?
 

Nini maana ya mazingaombwe?
 

Una maana gani unaposema Uchawi asili yake Biblia?
 
Kama uchawi upo mbona hatuoni wakiwa na maendeleo?,ukifuatilia wengi wao hao wanaoitwa wachawi ndio wanamaisha magumu. Na kama uchawi upo unawasaidia nini? Lol

Kwa wasema kuwa uchawi upo ila wachawi hawana maendeleo au haupo kabisa?
 
hili lipo toka zamani na mataifa yote duniani yanaamini na kufuata UCHAWI,
Nalog off
 
hili lipo toka zamani na mataifa yote duniani yanaamini na kufuata UCHAWI,
Nalog off

Sio kila kitu kinathibitika,hata wanasayansi wanaamini baadhi ya vitu/mambo ambayo kwa vigezo vya kisayansi katu havithibitki.mfano,kwenye mwili wa binadamu kuna organi kadhaa,ila akili haimo na huwezi sema ni ogani,japo ubongo upo,lakini ubongo sio akili.

Wanasayansi wanaamini kuwa kuna saa ya kimaumbile (biological clock) ndani ya viumbe,hususan ndani ya ubongo ingawa saa hiyo haithibitiki kwa vigezo vya kisayansi.

Hivyo basi,kama sayansi inavyoshindwa kuuthibitisha akili kwa vigezo vya kisayansi ndivyo vivo ivyo haiwezi thibitisha uwepo wa Mungu,wala vituko vya shetani kama vile uchawi.
 
na hapo ndipo ninapoiweka sayansi pembeni na kuamini yale nayaonayo kwa macho yangu na yanayothibitisha uwepo wa UCHAWI.
Nalog off
 
Ndugu zangu,mimi kuna jambo linanisumbua sana katika fikra. Nikwamba katika vitabu vya dini imethibitika kuwa uchawi upo. Lakini katika kujitibu ukipatwa na tatizo hlo ni ishu katika dini. Katika quran na biblia zote ni dhambi kupiga ramli(bao)ili ujue tatizo kama linahusiana na nguvu za giza. Wadau hivi apa dini zetu zinataka sisi tufanyeje ili utibiwe bila kumshirisha mungu? Mungu katoa mbadala wa mambo mengi sana ili aendelee kuwa radhi na sisi,ila kwa hili am blind. Mawazo ya kidini tafadhali
 
Uchawi ni ushetani - kupiga bao aka Ramli ni kuamua kutumikia nguvu za kiza ambazo ndiyo uchawi wenyewe, dini zote haziwezi kuruhusu mwanadamu kutumikia nguvu za kiza maana Mwenyezi mungu amekupa uwezo wake mkuu wa kuzipishinda hila za shetani.

Kuwa na Imani - Utasismama na hakuna kilicho chini ya jua kitakutikisa.
 
watumishi wa serikali wanatisha kwa ushirikina,wakitaka vyeo lazima wakaloge
 
Mtu anakurupuka na kudai uchawi haupo kwa sababu sayansi imeshindwa kuthibitisha wakati anajua kabisa sayansi hiyo hiyo inakiri kuna isiyoweza kuyajua

Watu wengine wa ajabu sana!
 
Kwa kuwa hujakifahamu Basi kirahisi una sema haupo ,upo na unaendelea kuwepo mpaka baba yao ibilisi atapokamatwa na kwenda motoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…