Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Tuandae ukumbi mlimani city au pengine wapi pazuri mkuu unapendekeza?Hebu andaa maswali yako yote halafu tukutane live hii mijadala inahitaji uwanja mpana nakaribisha na wengine watakaokuwa tayari nitaleta na zana halisi
Ukitaka kujuA Kama uchawi upo lazima ujue defn yake kwanza
Ukiangalia vizuri hata Simu Mabomu na computer ni uchawi
Kwa hiyo uchawi ndio ulozi ndio uganga wa kienyeji au?Hakuna tofauti mkuu
vyote vinatumia nguvu za Giza zisizoonekana..
Na zinaweza kuthibitika kwawewe kuamua tu kushiriki kimojawapo
Kwa hiyo uchawi ndio ulozi ndio uganga wa kienyeji au?
Ni nini hicho ulichoshuhudia na ukaamua kuwa ni matokeo ya uchawi?Kwa kushuhudia matokeo ya uchawi ..!!
Ninachouliza mimi ni hivi;uchawi...ulozi...uganga ni jamii moja na inatumia nguvu moja ( nguvu za Giza)
Ninachouliza mimi ni hivi;
Mtu akisema ni uchawi, ni amesema ni uganga wa kienyeji na ni sawa na aliyesema ni ulozi?
Hivi vitu havina tofauti?
Tuandae ukumbi mlimani city au pengine wapi pazuri mkuu unapendekeza?
Uchawi na ulozi ni sawa???ushirikina ni nini???
Ni uchawi kabisa,,sema wameweza kuuelezea tu unafanyaje kazi,hata umeme ni uchawi,simu PIA halikadharika
Mkuu unaikumbuka uncertanity principle??Hapana hapa mnachanganya maarifa yenye maelezo na kitu ambazo hakielezeki uchawi hauna formula ndio maana ukaitwa dark science
Vyote vinaangukia katika kundi moja lakini vikifanya kazi tofauti mfano viungo vya mwili vyote viko mwilini lakini kila kimoja kina kazi yake
Vyote vinaangukia katika kundi moja lakini vikifanya kazi tofauti mfano viungo vya mwili vyote viko mwilini lakini kila kimoja kina kazi yake
Je nchi ikituma kombora la masafa marefu,huo ni ulozi au uchawi?
Ni nini hicho ulichoshuhudia na ukaamua kuwa ni matokeo ya uchawi?
Ndiyo.Unataka kujua?
Akili ya ufipa ndio ya wapi?Kwa akili hii ya ufipa utapata tabu Sana na maisha post zote mbili umeshindwa pata conclusion?
too low!!