Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 220
Jamii ilimnyima mwanamke nafasi, na mwanamme hakutoa kitu ili apewe hiyo nafasi, it was just selfish behaviour, and i think it was after realizing that women are very clever so the only way to tame them is to deny them power.
sasa mpendwa, conclusion ikae hivi:
mwanamke si mjanja kuliko mwanume wala mwanume ssi mjanja kuliko mwanamke, bali hali halisi imetokana na maumbile yao ambayo pia yamepelekea nafsi tofati za maisha ya kijamii. ili kupunguza pengo kati yao inapaswa mwanume amshirikishe mwanamke katika yale ayafanyalo ili kumuwezesha kushiriki kikamilifu mchakato wa kujiletea maendeleo kwani mwanmke akiwezeshwa, anaweza.
Tuwe wakweli kwa kuamini kwamba sisi ni mambumbumbu? na kwamba wanaume ndo wanaweza kila kitu na sisi hatuwezi? That is what i get kama unajibu swali la thread. Na sasa tutajikwamuaje wakati tushakubali kwamba we are dumb? mimi bado naamini kwamba mwanamke ni more cleverMara nyingi sana katika maisha usipojua udhaifu au matatizo ni ngumu sana kupata ufumbuzi.Inabidi tufike mahali wanawake tuwe wakweli kwa nafsi zetu ili tujue matatizo yalipo na kujikwamua.Tukiendelea kujipa faraja za uongo kila siku tutakuwa watu wa kuonewa.
Nadhani tuna kila sababu ya kujifanyia SWOT Analysis.
mwanamke ametoka kwa mwanaume so wanaume ni wajanja zaidi ila wanawake tukiwawezesha wanakuwa janja π
..Charity...Kama umemuelewa bujibuji vizuri mtazamo wake zaidi umelenga maisha ya kawaida ambamo na mwanamke yumo. Mambo ya harakati ni kipande kingine katika kutafuta kuwa juu tu. Mimi napenda kukubaliana na mwenye bandiko kuwa wanawake wengi wao ni wajanja,werevu sana.na ndio maana mambo mengine anayofanya mwanamke aidha bila mwanume wake kujua hawezi kuamini siku akigundua. Wanaume wengi si wajanja kiivyo, ila tu tumejaliwa kuwa na hulka ya kutumia nguvu na vishawishi tofauti na wanawake. Sasa wale wanaouuliza kuwa ujanja wa mwanamke uko kwenye nyanja gani wanaujua ukweli...kuanzia kwenye mahusiano,madaraka,elimu,siasa...Kwa mfano wanaume wangapi wanahangaika kupima watoto DNA? (wanahisi kutendwa na wanawake wao), wanawake wangapi wamepata nyadhifa kwa uwanawake wao, wanawake/wasichana wangapi wamefaulu mitihani vyuoni kwa uwanawake wao?, wanawake wangapi ambao wako kwenye siasa kwa uwanawake wao? wanawake wangapi wanaendesha magari mjini humu kwa magari waliyonunuliwa na wanaume kwa style mbali mbali? wanawake wangapi wamejengewa majumba na kufunguliwa biashara na wanaume kwa mitindo mbali mbali na mwisho kuishia kufanyiwa maumivu???....Sisemi wanawake ni watu wa kubebwa tu ila wanaweza ku-soften mambo kwa kutumia uwanawake wao.
Tuwe wakweli kwa kuamini kwamba sisi ni mambumbumbu? na kwamba wanaume ndo wanaweza kila kitu na sisi hatuwezi? That is what i get kama unajibu swali la thread. Na sasa tutajikwamuaje wakati tushakubali kwamba we are dumb? mimi bado naamini kwamba mwanamke ni more clever
Jamii ni wanawake na wanaume ndio, lakini wewe hujiulizi kwa nini hadi leo mwanamke akigombea cheo kikubwa wanawake wenyewe hawampigii kura? simply because mind zao zishakuwa brainwashed na wanaume ambao ni selfish na kuwafanya wajione hawawezi.
Hizi habari za kulilia upendeleo ni propaganda za kisiasa ambazo in one way or another zinapelekea mwanamke kuzidi kujiona hawezi ushindani, ni pychological way ya kumfanya mwanamke azidi kuwa chini, na mimi kama mimi sikubaliani, i believe i can do things than many men my age cant do.
Kuamua kujikomboa au kutojikomboa ni decision ya mtu binafsi, especially wale wanawake walioonja shule na exposure wakishindwa kujikomboa na kusubiri wanaume, hao wana matatizo. Lakini at the end of the day mwanamke ni clever in so many ways.
Mmmmh ww ntakuacha sasa ivi
Tuwe wakweli kwa kuamini kwamba sisi ni mambumbumbu? na kwamba wanaume ndo wanaweza kila kitu na sisi hatuwezi? That is what i get kama unajibu swali la thread. Na sasa tutajikwamuaje wakati tushakubali kwamba we are dumb? mimi bado naamini kwamba mwanamke ni more clever
mwanamke ametoka kwa mwanaume so wanaume ni wajanja zaidi ila wanawake tukiwawezesha wanakuwa janja π
vp tena dia au unabisha nifungue bibliaπ
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.kama hivyo ndivyo je kwanini biblia inatuambia takae na wake zetu kwa akili kwani ni viumbe vidhaifu.
mwanamke ili apate sifa alizosema buji lazima apate kwa mwanaumeππ
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.
ndoa yenyewe bado kanisani hutaki kunipeleka unataka kufungua biblia kwa jili ya ubishi?
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.
You are very right
I might be convinced on your conclusion on fair -basis ground, otherwise and from my point of view women will always be clever. If they dont demonstrate it, its because there is a cloud somewhere. Thank you people.camel bwana kwa majibu, bro ana kazi!
naomba upitie conclusion yangu niliyomjibu pear halafu utoe comment please