Hii inanikumbusha yale maswali niliyokuwa nayachukia sana kwenye historia:
"After the second world war, US emerged as a leading global superpower so did the soviet union. Discuss"!!
na kwa nini adam alidanganywa na mwanamke? ndo maana mnaambiwa muishi na wanawake kwa hekima coz we can do anything, even the imposibilities. We can love, hate, kill, heal,save etc.mh unajua kwann shetani alimdanganya mwanamke? unajua kwann akumdanganya adamu? akili na hekima ni sawa bible aikusema ni clever ilisema ni wadhaifu tena imesema ni viumbe vidhaifu. je unapingana na hili?
na kwa nini adam alidanganywa na mwanamke? ndo maana mnaambiwa muishi na wanawake kwa hekima coz we can do anything, even the imposibilities. We can love, hate, kill, heal,save etc.
umegundua mpwa.....ni ukweli usiopingika kuwa wanawake ni balaa,sio kwamba wanaume hatumo ila wenzetu wametuzidi kete
Biblia imehauri wanaume wakae na wake zao kwa hekima, kwa kuwa usipokuwa na hekima mwanamke humuwezi, They far more cleverer than men, no wonder Adam alilishwa tunda alillokatazwa, so kazi kwenu kuamua.
Adam alidanganywa na Hawa, wakafukuzwa kwenye bustani ya Eden.
Samsoni alirubuniwa na Delila,
Lutu alidanganywa na mkewe wageuke nyuma, Lutu akagoma,
Ayubu alipopata mateso makali mke wake alimwambia AMKUFURU Mungu, Ayubu akagoma na akarudishiwa utajiri mara elfu moja.
Mkapa alishauriwa na mkewe kufanya biashara ikulu,
Mwinyi alipewa ushauri na mkewe waiuze Loliondo Gate...[/quote]
huo ndo ukweli wenyewe. in so many ways, women are clever1
Adam alidanganywa na Hawa, wakafukuzwa kwenye bustani ya Eden.
Samsoni alirubuniwa na Delila,
Lutu alidanganywa na mkewe wageuke nyuma, Lutu akagoma,
Ayubu alipopata mateso makali mke wake alimwambia AMKUFURU Mungu, Ayubu akagoma na akarudishiwa utajiri mara elfu moja.
Mkapa alishauriwa na mkewe kufanya biashara ikulu,
Mwinyi alipewa ushauri na mkewe waiuze Loliondo Gate...
Sasa kwa nini wanamegwa halafu wanaachwa...???Wanawake ni wajanja, werevu, watundu na wana mbinu nyingi zaidi ya wanaume.
Sasa kwa nini wanamegwa halafu wanaachwa...???
Umemega na ukaniacha sioni kwamba niujanja zaidi ya udhaifu wako, maana umekimbia majukumu ya kumhandle huyo mwanamke. Hata hivyo ukimega inasafishwa na mwingine anaendelea vilevile kama vile hujamega...huo sii ndo ujanja kwa wanawake.Sasa kwa nini wanamegwa halafu wanaachwa...???
Umemega na ukaniacha sioni kwamba niujanja zaidi ya udhaifu wako, maana umekimbia majukumu ya kumhandle huyo mwanamke. Hata hivyo ukimega inasafishwa na mwingine anaendelea vilevile kama vile hujamega...huo sii ndo ujanja kwa wanawake.
Wanawake ni wajanja, werevu, watundu na wana mbinu nyingi zaidi ya wanaume.
Nikweli kabisa wanawake ni wajanja sana,mfano mzuri kwa walio ndani ya ndoa wajuulize maswali kwani huwa una (mdunda) kumchapa makofi? ni kwa sababu ukibishana naye hutamshinda kwa maneno na hoja hivo unaishia kutumia nguvu,Hayo yote yanatokea kwa kuwa mwanamke ameumbwa na moyo wa huruma lakini si kwamba we are dumb. Kwenye nyanja hizo za uongozi na hizo taasisi za kutetea haki za wanawake zipo tu kwa kuwa mwanamke hakypewa nafasi tangia zamani, alinyimwa nafasi makusudi na mwanaume akapewa power hiyo. Kwa ufupi ni mentality ya mfumo dume ndo imemfikisha mwanamke hapa alipo kiasi cha kumfanya anyanyaswe kila sector. Lakini ukweli ni kwamba ukichagua mwanamke na mwanaume ukawapa fursa sawa at 0 point bila mambo mengine yoyote, mwanamke ni clever tena sana tu. Thats what i believe though.
Delila na Samsonna kwa nini adam alidanganywa na mwanamke? ndo maana mnaambiwa muishi na wanawake kwa hekima coz we can do anything, even the imposibilities. We can love, hate, kill, heal,save etc.