Je, unadhani huyu Meya wa Manispaa ya Moshi hapa alikuwa anawalenga hasa 'Wageni Wasafiri' kutoka Mkoa gani?

Je, unadhani huyu Meya wa Manispaa ya Moshi hapa alikuwa anawalenga hasa 'Wageni Wasafiri' kutoka Mkoa gani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Tafadhali mnaotoka Mikoa iliyozoea Uchafu na haina Ustaarabu wa Usafi na Mazingira muwapo hapa Moshi katika Sikukuu hizi za mwisho wa mwaka zingatieni Usafi mlioukuta na kwa wale watakaokaodi na Kuchafua Jiji letu wanaweza Kujikuta January 2022 wanaianzia wakiwa Jela" amesema Meya wa Manispaa ya Mji wa Moshi.

Chanzo: Morning Magic na Magic FM

Unadhani huu Ujumbe wa huyu Meya hapa Kawalenga 'Wageni Wasafiri' wa kutoka Mkoa gani ( upi ) Tanzania nzima ambao pamoja na Kujifanya ni 'Wajanja' ila ndiyo Wabobezi wa Uchafu na Uchafu nao pia umetokea Kuwapenda?

Hata hivyo kwa kuanzia tu GENTAMYCINE nahisi huyu Meya wa Manispaa ya Moshi hapa atakuwa Kawalenga mno wanaotokea Mikoa ya Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyaturu na Wanyiramba, Kigoma kwa Waha, Dodoma kwa Warangi, Mwanza Ukerewe kwa Wakara na Tabora kwa Wanyamwezi.

Tanzania nzima Mkoa ulio Msafi, Watu wake pia ni Wasafi hadi Akili zao pia ni Safi vile vile ni wa Mara ( Musoma ) pekee na ndiyo maana kila Mtanzania anakimbilia kwenda Kuishi huko. Kama hujafika Mkoa wa Mara basi umekosa Mambo mengi hivyo fanya hima ukautembelee na ukatembee pia.

Watani zangu mpo....!!!!!!!
 
"Tafadhali mnaotoka Mikoa iliyozoea Uchafu na haina Ustaarabu wa Usafi na Mazingira muwapo hapa Moshi katika Sikukuu hizi za mwisho wa mwaka zingatieni Usafi mlioukuta na kwa wale watakaokaodi na Kuchafua Jiji letu wanaweza Kujikuta January 2022 wanaianzia wakiwa Jela" amesema Meya wa Manispaa ya Mji wa Moshi.

Chanzo: Morning Magic na Magic FM

Unadhani huu Ujumbe wa huyu Meya hapa Kawalenga 'Wageni Wasafiri' wa kutoka Mkoa gani ( upi ) Tanzania nzima ambao pamoja na Kujifanya ni 'Wajanja' ila ndiyo Wabobezi wa Uchafu na Uchafu nao pia umetokea Kuwapenda?

Hata hivyo kwa kuanzia tu GENTAMYCINE nahisi huyu Meya wa Manispaa ya Moshi hapa atakuwa Kawalenga mno wanaotokea Mikoa ya Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyaturu na Wanyiramba, Kigoma kwa Waha, Dodoma kwa Warangi, Mwanza Ukerewe kwa Wakara na Tabora kwa Wanyamwezi.

Tanzania nzima Mkoa ulio Msafi, Watu wake pia ni Wasafi hadi Akili zao pia ni Safi vile vile ni wa Mara ( Musoma ) pekee na ndiyo maana kila Mtanzania anakimbilia kwenda Kuishi huko. Kama hujafika Mkoa wa Mara basi umekosa Mambo mengi hivyo fanya hima ukautembelee na ukatembee pia.

Watani zangu mpo....!!!!!!!
We fala na mbaguzi; Dar Es Salaam pasafi?
 
Kwenye swala la usafi Moshi ishindanishwe na Kigali tu Rwanda.

Hivi Musoma kuna jambo gani la kujivunia zaidi ya Mbuga ya serengeti ambayo wala haipo Musoma?
 
😁😁😁
56853.jpg
 
"Tafadhali mnaotoka Mikoa iliyozoea Uchafu na haina Ustaarabu wa Usafi na Mazingira muwapo hapa Moshi katika Sikukuu hizi za mwisho wa mwaka zingatieni Usafi mlioukuta na kwa wale watakaokaodi na Kuchafua Jiji letu wanaweza Kujikuta January 2022 wanaianzia wakiwa Jela" amesema Meya wa Manispaa ya Mji wa Moshi.

Chanzo: Morning Magic na Magic FM

Unadhani huu Ujumbe wa huyu Meya hapa Kawalenga 'Wageni Wasafiri' wa kutoka Mkoa gani ( upi ) Tanzania nzima ambao pamoja na Kujifanya ni 'Wajanja' ila ndiyo Wabobezi wa Uchafu na Uchafu nao pia umetokea Kuwapenda?

Hata hivyo kwa kuanzia tu GENTAMYCINE nahisi huyu Meya wa Manispaa ya Moshi hapa atakuwa Kawalenga mno wanaotokea Mikoa ya Kagera kwa Wahaya, Singida kwa Wanyaturu na Wanyiramba, Kigoma kwa Waha, Dodoma kwa Warangi, Mwanza Ukerewe kwa Wakara na Tabora kwa Wanyamwezi.

Tanzania nzima Mkoa ulio Msafi, Watu wake pia ni Wasafi hadi Akili zao pia ni Safi vile vile ni wa Mara ( Musoma ) pekee na ndiyo maana kila Mtanzania anakimbilia kwenda Kuishi huko. Kama hujafika Mkoa wa Mara basi umekosa Mambo mengi hivyo fanya hima ukautembelee na ukatembee pia.

Watani zangu mpo....!!!!!!!
Uzi sijauelewa kabisa
 
Meya anatuzungumzia sisi watu Wa Dar naona.. Sisi tumeshazoea Uchafu.

Hapa Shekilango muda wote huwa pananuka, na wala hatuwazi yani..

Dar oyee..[emoji38]
 
Kwenye swala la usafi Moshi ishindanishwe na Kigali tu Rwanda.

Hivi Musoma kuna jambo gani la kujivunia zaidi ya Mbuga ya serengeti ambayo wala haipo Musoma?
Kigali ile ni levo nyingine, asafi hivi inakuwa Defined vipi? Moshi ilikuwa zamani ila tangu wa ruhusu Wamachinga hakuna usafi pale
 
Back
Top Bottom