Na vile apendi tabu atakuwa anaruka na ndege mikoa yenye Viwanja ,ila uko wilayan cjui butiama mtamsikia Kwenye matokeo kawa rais mliomchagua bila kuja kuwa omba kura😅
Umewaza kitu nilicho kiwaza muda muda kidogo, huwa namuona ni mzito mno, hana zile kashikashi !
Sijui hata saba afika , labda mjini mjini na kanda zeny wapiga kura wengi.