Je, unadhani muda umefika kwa mafundi ujenzi kuanza kusajiliwa na kupewa leseni ili tuwadhibiti?

Je, unadhani muda umefika kwa mafundi ujenzi kuanza kusajiliwa na kupewa leseni ili tuwadhibiti?

Mbongo4life

Senior Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
132
Reaction score
270
Kutokana na uhuni unaofanywa na mafundi ujenzi, wizi na ubora wa chini wa kazi serikali ianze kutoa leseni kwa mafundi ili tuweze kuwa hold accountable pale wanapohalibu kazi kwa makusudi au kuhujumu project ya mtu wawe wanapigwa faini na leseni kufungiwa pia kuwe kuna records zao ili watu wawezi kujua ni fundi wa aina gani namuajili.

Nazani hili litawafanya wawe responsible kidogo kwenye usimamizi na ubora wa kazi. Nini maoni yako au wewe unaona nini iwe solution.
 
Naunga mkono hii hoja..na walipe kodi kabisa.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kutokana na uhuni unaofanywa na mafundi ujenzi, wizi na ubora wa chini wa kazi serikali ianze kutoa leseni kwa mafundi ili tuweze kuwa hold accountable pale wanapohalibu kazi kwa makusudi au kuhujumu project ya mtu wawe wanapigwa faini na leseni kufungiwa pia kuwe kuna records zao ili watu wawezi kujua ni fundi wa aina gani namuajili.

Nazani hili litawafanya wawe responsible kidogo kwenye usimamizi na ubora wa kazi. Nini maoni yako au wewe unaona nini iwe solution.
Mkuu kwani hakuna mafundi ujenzi waliosajiliwa? Wapo wengi tu ni jukumu lako kuangalia uhalali wa fundi unaechagua akujengee nyumba yako.
Mbona unataka kufanya maisha yawe magumu? Kila kitu kina faida na hasara zake. Hao mafundi wasiosajiliwa ndio wanatusaidia sisi wenye kipato cha chini, si wote tuna uwezo wa kuchukua mafundi wa kiwango cha juu.
 
Back
Top Bottom