Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kuhema sana,Shusha Pressure,Soma taratibu na hakikisha unaelewa kabla ya kucomment.Kwa unataka niandike kama unavyotaka wakati mimi nmeandika nilivoandika na wewe umeelewa?Huna haja ya kuwa na matarajio yoyote kutoka kwangu zaidi ya kusoma huu uzi na kuuelewa.Kilichomshinda kusema haya yapo Tanzania na akatoa mifano ni nini? Je, kama anaogopa hata kuitaja Tanzania kwenye mifano yake, tutarajie nini kwa kijana kama huyu? By the way, uliishawahi kusoma kitabu cha "Harakati za Ukombozi"?
Ila Wasukuma huwa wana misemo inayoniacha hoi: eti mji wa mwoga nao ni mji: "Kaya ya ng'woba nayo Kaya." Waswahili wao husema 'kunguru mwoga hukimbiza bawa lake.'
Yaani hata wewe una mji huenda na mke na watoto wanaokuita baba ila huna tofauti na mtumwa tu!!!
This is rubbish. Na una bahati hii sio kama assignment ambayo ningeweza kuisimamia mimi. Ungeramba sifuri, lakini kwasababu hii ni JF andika unavyoweza na wajinga wenzako watakupongeza!Mkuu acha kuhema sana,Shusha Pressure,Soma taratibu na hakikisha unaelewa kabla ya kucomment.Kwa unataka niandike kama unavyotaka wakati mimi nmeandika nilivoandika na wewe umeelewa?Huna haja ya kuwa na matarajio yoyote kutoka kwangu zaidi ya kusoma huu uzi na kuuelewa.
Mkuu,nafikiri unahitaji kula ndimu/limau.Hio sio assignment wala sitafuti maksi hasa kutoka kwa mtu kama wewe ambaye sidhani kama una hadhi hata ya kuwa mwanafunzi wangu wa mwisho darasani kwa sababu mwanafunzi wangu wamwisho hawazu kuwa na fikra fupi kama zako.This is rubbish. Na una bahati hii sio kama assignment ambayo ningeweza kuisimamia mimi. Ungeramba sifuri, lakini kwasababu hii ni JF andika unavyoweza na wajinga wenzako watakupongeza!
Ahahahahahaha! Lingekuwa jambo jema kama ungeuchukua ushauri wangu na kuufanyia kazi. Ukiucha, shauri yako!!!Mkuu,nafikiri unahitaji kula ndimu/limau.Hio sio assignment wala sitafuti maksi hasa kutoka kwa mtu kama wewe ambaye sidhani kama una hadhi hata ya kuwa mwanafunzi wangu wa mwisho darasani kwa sababu mwanafunzi wangu wamwisho hawazu kuwa na fikra fupi kama zako.Usikosse heshima JF nafikiri wewe utakuwa ndo mjinga pekee uliopo JF ambaye unalengo moja tu kuhakikisha unahamisha msing na uelekeo wa mjadala jamba ambalo umelifanikisha.Mengine nafikiri ushayaelewa vizuri.Kunywa maji ushushie
Uandishi wa kifasihi humfanya msomaji afikiri nje ya box. Si lazima kutaka mifano halisi. Hilo huachiwa msomaji kuamua hujiwekea mifano mingi awezavyo.Kilichomshinda kusema haya yapo Tanzania na akatoa mifano ni nini? Je, kama anaogopa hata kuitaja Tanzania kwenye mifano yake, tutarajie nini kwa kijana kama huyu? By the way, uliishawahi kusoma kitabu cha "Harakati za Ukombozi"?
Mkuu, katika uandishi, unapoelezea jambo Fulani ili kuthibitisha kiwa lipo lazima utoe mfano/mifano. Kama hutoi so rahisi kuthibitisha kiwa lipo. Kwahiyo, nilichokuwa namtaka mwandishi kufanya ni kutoa mfano/mifano tu. Kama anaogopa kutoa hiyo mifano maana yake anachokiogea HAKIPO!! Hili ni jambo la kawaida kwenye uandishi!Uandishi wa kifasihi humfanya msomaji afikiri nje ya box. Si lazima kutaka mifano halisi. Hilo huachiwa msomaji kuamua hujiwekea mifano mingi awezavyo.
Nitakitafuta kitabu hicho, ila unajuaje kama mwandishi wa bandiko hili ni kijana!!!? Labda ni Mzee wa mkongojo au wa kiume au kike!!?
Pascal anajua yote anafanya vile angalau apate kusurvive, anamwomba kucha regime hii iidhe muda wakeWamebakia kina Paskali Mayala kujibebesha imani juu ya awamu ya tano.
Sent using Jamii Forums mobile app