Je, Unafaa kuwa Mume? Ingia Hapa Kisha Jipimie

Madame B

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2012
Posts
31,155
Reaction score
35,683
Habari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.

Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.

Nyongeza:
P'se kama unapenda wanawake wembamba hutonifaa,
Mimi ni Mnene wa Wastani, Mwenye Umbo la Kike.
Pia nina mtoto mmoja.
Maana maswali yamezidi.
 
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Hizo sifa we unazo? Nauliza tu...
 

Kila la kheri Madame B....

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Naaam! Usikawie....
 
................. vipi hapo kwa mimi ninayeamini kupenda kumo katika kujifunza
 
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.

Hizo sifa we unazo? Nauliza tu...

Naam!
Ninazo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…