Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam B yupo serious ujueNina ndoa nyingi hadi wengine nawatongoza tena...
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ibie mimi nina sifa zote hizo kasoro umri wangu ni miaka48. Kinacho takikana Kwa Mwanamke kumtafuta Mwanamme wa kuolewa nawe Sio hayo yote bibie Huwezi kumpata mwanamme wa namna hiyo labda awe MtuHabari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.
Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.
Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.
Bibie mimi nina sifa zote hizo kasoro umri wangu ni miaka48. Kinacho takikana Kwa Mwanamke kumtafuta Mwanamme Sio hayo yote bibie Huwezi kumpata mwanamme wa namna hiyo lbada awe Mtu
Mzima kuanzia miaka 50 na kuendelea nijuavyo kwa vijana asipo vuta sigara basi atakuwa ni melevi wa pombe au unga au mwenda Disko kwa huo umri uliotaja bibie huwezi kupata vijana wenye tabia hizo kabisa. kitu Muhimu kwa akina
dada zangu ni kupata mwanamme mwenye tabia nzuri akisha kuwa na Tabia nzuri hayo yote uliyotaja yanafuatia tabia ya mtu tabia ndio kitu muhimu kwa wana ndoa awe ni mke au ni mume akisha kuw ana tabia nzuri hawezi tena kuwa ni
mvuta sigara au mlevi wa aina yoyte ile au jeuri hawezi kuwa tabia ya mtu ndio kitu muhimu sana ninakucha bibie hujambo lakini Madame B?
Achelewe!?? labda mwingine lakini sio Vin Diesel
Madam B yupo serious ujue
Kha!
Jamani!
Mi si nilisema nakupenda ila sio ile ya watu kujua? Haya mi nina sifa zooote ulizozitaja na zaidiHabari Wapenzi wa safu Hii ya Luv Connect.
Baada ya Kimya cha Muda mrefu hatimaye nami najitokeza humu kusaka Mume Wa Maisha,nikimpata poa,nisipompata poa vilevile.
Sifa zake:
1. Awe na umri wa kuanzia Miaka 32 hadi 37.
2. Awe ni Muajiriwa au Kajiajiri.
3. Awe na Malengo ya Maisha.
4. Sitaki avutaye sigara,kama anavuta basi kwa kiasi.
5. Dini yoyote japo Mkristo atapewa kipaumbele.
6. Asiwe na gubu au kisirani.
7. Anayejua kupenda.
8. Angalau awe na elimu ya Chuo.
9. Awe Msafi wa roho na nafsi.
10. Awe Mkweli.
Sifa Zangu:
1. Nimeajiriwa.
2. Ni Mkristo.
3. Nina 27 yrs.
4. Nina elimu ya Chuo
Mengine tutafahamishana.
PM tu ndo zitajibiwa.
Achelewe!?? labda mwingine lakini sio Vin Diesel
Huoni watu walivyotangaza nia?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums