Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana.Acha umbea,,,, ukishajua?
Kweli jamaa yuko vizuri sana Upstairs.japo kwao ni ruvuma lakini allan ni fahari ya tanzania. laiti vijana wengi wa tz wangekuwa na ubunifu na iq kubwa kama yake soko la ajira la africa mashariki lingeomba poo kwa watz.
Mkuu hiyo avatar yako hunivunja mbavu sana.A level alikuwa Minaki
Alisoma na mdogo wangu
Punguza mihemko mkuu punguza chuki binafsiMimi huwa sifanyi chuki ila aina ya akina mchomvu wapo wengi asa pale clouds ni ovyo sana wanaua talent za watu
choko hilo achana naloMchomvu ameingije hapo? Chuki binafsi hizo
...sikiliza Radio Maria!Hao kina mchovu ni wahuni sijui hupiga bangi kabla ya kipindi wana iharibu clouds had inaonekana ya wahuni
mchomvu kichwa kingine mibangi co sabab ya msing kabisaa...sikiliza Radio Maria!
Sijakuelewa hili neno.... japo kwao ni Ruvuma..... KWAMBA RUVUMA HAKUNA CHA MAANA AU..??japo kwao ni ruvuma lakini allan ni fahari ya tanzania. laiti vijana wengi wa tz wangekuwa na ubunifu na iq kubwa kama yake soko la ajira la africa mashariki lingeomba poo kwa watz.
mkuu nilichokuwa namaanisha ni kuwa pamoja na kutambulishwa kuwa anatoka ruvuma huyu kijana ameibeba tz yote.mimi simwangalii kama mngoni ila kama mtanzania. na yeye ninaamini anauweka zaidi utanzania mbele ndiyo maana nadhani mke wake siyo wa ruvuma. tuache kuwekeana hisia hasi kwenye mambo mazuri kama alivyo allan.Sijakuelewa hili neno.... japo kwao ni Ruvuma..... KWAMBA RUVUMA HAKUNA CHA MAANA AU..??
nakushukuru umenielewaKweli jamaa yuko vizuri sana Upstairs.
Au asikilize redio Imaan....sikiliza Radio Maria!
Duh wakenya wamesema naye ni wa kwao hakika Kenyans sio watu wazuri