Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Wewe kama mwana Jf unafahamu kwamba wabunge wapo bungeni kujadili bajeti ya nchi?
Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?
Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.
Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?
Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?
Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.
Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?