Wamesambaa nchi nzima kugawa mikopo walioipa jina "mikopo ya akina mama". Na sijui mapesa haya wameyatoa wapi.
Kila Mbunge anayo mapesa haya.
Je, ni posho zao? - JIBU NI HAPANA, HAIWEZEKANI. CCM hawana huruma hii!!
Je, ni mapato ya kazi za biashara zao? - JIBU NI HAPANA, HAIWEZEKANI, CCM hawana huruma hii!!
Je, ndiyo mapesa ya Mama Abdul kupitia kwa Mwigulu Nchemba kwa kuchota toka hazina ya nchi? - HILI LAWEZA KUWA NDILO JIBU SAHIHI
Hii serikali ya CCM na Mama Abdul wao iko desperate kulinda madaraka yake kwa hongo na rushwa kwa wananchi, wakati huohuo huduma za kijamii kwa watu wote elimu, afya, miundo mbinu ya barabara, umeme, nk zikiwa choka mbaya.
Aidha, funding ya miradi ya kimkakati kama SGR, barabara, maji ikiwa imesimama na wakati huohuo gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida na masikini kabisa wa nchi hii zikipaa juu kuliko kawaida kila siku!!
Honestly, THIS IS UNACCEPTABLE!
Hata hivyo, ukweli ni kuwa hii inayotolewa sio mikopo bali ni rushwa na hongo kwa kina mama kwa ajili ya kura mwaka huu 2024 na mwaka kesho 2025.
Wabunge wamesambaa nchi nzima kugawa hongo na rushwa kwa jina la "mikopo". Hivi kama nchi tutapataje kupona kama hawa watu waliobeba roho hii chafu ya Ibilisi shetani wakiachwa kutawala taifa na nchi hii?
Tumejenga utamaduni mbaya wa kuwapa uongozi wa nchi watu wanaonunua uongozi kwa rushwa. Hii ni tabia ya shetani si ya Mungu Yehova mwenye nchi hii.
Tunaposema tunatawaliwa na viongozi mawakala wa shetani, maana yake ni hii!!
Tutawezaje kupiga hatua za maendeleo kwa kuwa na viongozi watoaji na wala rushwa namna hii?