Je, unafahamu kwamba kuna Bunge la Bajeti linaendelea Dodoma?

Je, unafahamu kwamba kuna Bunge la Bajeti linaendelea Dodoma?

Wewe kama mwana Jf unafahamu kwamba wabunge wapo bungeni kujadili bajeti ya nchi?

Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?

Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.

Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?
Bunge lipi,? Hao wabunge walichaguliwa na "NANI"?!!!
 
Eti chief mrangi tusaidie 😁
Huyu jirani yangu huko hananasif/stereo mhuni tu huyu hana lolote
Nkkija huko garden nko jirani pia na mbunge wa kinondoni zamani Peter kabisa....
Kinondoni inamkosi wa kupata viongozi/wawakilishi wa ovyooo
Idd azan naye alikuwa wale wale
Kuna siku nlimchana tarimba kuwa ubunge sahvi hatoupata
Abaki na makamali yake
Kuhusu kilevi hiyo nipe home work mkuu ntakupa jibu 😄

Ova
 
Wewe kama mwana Jf unafahamu kwamba wabunge wapo bungeni kujadili bajeti ya nchi?

Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?

Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.

Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?
Mtu mwenye akili timamu huweza kukaa na kusikiliza maigizo ya vilaza wa mwendazake
 
Ni bunge ama kikao cha wazi cha viongozi wa CCM.
 
Wewe kama mwana Jf unafahamu kwamba wabunge wapo bungeni kujadili bajeti ya nchi?

Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?

Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.

Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?
nadhani si mihimu sana,

lle jambo ya maana zaidi kwa mwanainchi ni maendeleo yawafikie vya kutosha kule chini kabisa walipo. ukiangalia itakusaidia nini badala na wewe kufanya kazi zako kwa bidii? hamna maana yoyote....

Pale bungeni muwakilishi wako anatosha, mengine atakueleza huko jimboni kwenye mikutano ya hadhara :whatBlink:
 
Wewe kama mwana Jf unafahamu kwamba wabunge wapo bungeni kujadili bajeti ya nchi?

Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?

Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.

Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?
Yaani hili Bunge la ovyo kweli hata wananchi walisha lipuuza kabisa. Hauna mtu anaye juwa kuwa Kuna Bunge la budget. Kusikiliza Bunge la ccm tupu ni kujitakia matatizo ya moyo na akili.
 
Wamesambaa nchi nzima kugawa mikopo walioipa jina "mikopo ya akina mama". Na sijui mapesa haya wameyatoa wapi.

Kila Mbunge anayo mapesa haya.

Je, ni posho zao? - JIBU NI HAPANA, HAIWEZEKANI. CCM hawana huruma hii!!

Je, ni mapato ya kazi za biashara zao? - JIBU NI HAPANA, HAIWEZEKANI, CCM hawana huruma hii!!

Je, ndiyo mapesa ya Mama Abdul kupitia kwa Mwigulu Nchemba kwa kuchota toka hazina ya nchi? - HILI LAWEZA KUWA NDILO JIBU SAHIHI


Hii serikali ya CCM na Mama Abdul wao iko desperate kulinda madaraka yake kwa hongo na rushwa kwa wananchi, wakati huohuo huduma za kijamii kwa watu wote elimu, afya, miundo mbinu ya barabara, umeme, nk zikiwa choka mbaya.

Aidha, funding ya miradi ya kimkakati kama SGR, barabara, maji ikiwa imesimama na wakati huohuo gharama za maisha kwa wananchi wa kawaida na masikini kabisa wa nchi hii zikipaa juu kuliko kawaida kila siku!!

Honestly, THIS IS UNACCEPTABLE!

Hata hivyo, ukweli ni kuwa hii inayotolewa sio mikopo bali ni rushwa na hongo kwa kina mama kwa ajili ya kura mwaka huu 2024 na mwaka kesho 2025.

Wabunge wamesambaa nchi nzima kugawa hongo na rushwa kwa jina la "mikopo". Hivi kama nchi tutapataje kupona kama hawa watu waliobeba roho hii chafu ya Ibilisi shetani wakiachwa kutawala taifa na nchi hii?

Tumejenga utamaduni mbaya wa kuwapa uongozi wa nchi watu wanaonunua uongozi kwa rushwa. Hii ni tabia ya shetani si ya Mungu Yehova mwenye nchi hii.

Tunaposema tunatawaliwa na viongozi mawakala wa shetani, maana yake ni hii!!

Tutawezaje kupiga hatua za maendeleo kwa kuwa na viongozi watoaji na wala rushwa namna hii?
Kazi ya mbunge siyo kutoa misaada au kugawa mikopo, ni kuisimamia na na kuishauri serikali kumkinga raia.
Serikali au watawala kwa asili ni wanyonyaji wanaokula jasho la mlalahoi kwa kuhalalisha kisheria.
Mbunge anawakilisha au kutetea wananchi dhidi ya watawala (serikali au wafalme ambao huvuna wasipopanda kwa asili yao).

Sasa, inapotokea mtetezi anaungana na mtesi, huyo ni mbaya zaidi.
Hii ni elimu ya kutumia akili ya kawaida (common sense) badala ya kukaririshwa.
Mwenye akili na aitumie.
 
Wewe kama mwana Jf unafahamu kwamba wabunge wapo bungeni kujadili bajeti ya nchi?

Tangu bunge lianze kujadili bajeti umefuatilia na kuona mjadala wowote wa kibajeti? Kwa namna mambo yanayokwenda kwanini tusiachane na mfumo wa kupeleka bajeti bungeni?

Nasema tuachane nao kwa sababu fedha nyingi zinatumika kwenda Dodoma bungeni kupitisha kushuhudia jambo ambalo lingeweza kuwa declared once na waziri wa fedha tukaendelea na maisha.

Mfuko huu wakusoma bajeti ambayo hakuna mbunge anayechambua bajeti husika umepelekea kufa kwa lengo la bajeti kupita bungeni. Hata wabunge kwenye viti vyao hawapo wapo busy na mambo mengine.....tunapeleka bungeni kwa ajili ya nini?
Mimi nafuatilia kwa ukaribu sana. Ni haki yangu kujua mipango ya mtumizi ya kodi yangu kwa mwaka mwingine wa fedha.
 
Kuna kitu tulimkosea MUNGU kama Taifa....adhabu tunayopewa ni kutawaliwa na CCM.
 
Back
Top Bottom