Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Seen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo. Bado yuko hai.Nilisikiasikia muda kidogo kafariki, nimegugoole kafariki, unajibu usichokijua kisa, misifa au kuonekana umechanjia upopoma, punguza mihemko na shobo mshindo isiyo na tija.
Nilisikiasikia muda kidogo kafariki, nimegugoole kafariki, unajibu usichokijua kisa, misifa au kuonekana umechanjia upopoma, punguza mihemko na shobo mshindo isiyo na tija.
linaitwaje maana umeweka lenye mb kibaoHili onyesho alifanya kwa ubora sana.View attachment 2850347
Habari zile za uzushi, ni kweli akizushiwa 2016, Ila si kweli, Ila ilisemekana na kuvuma, ni uongo yupo hai, Kama ulikuwa unajua ungejibu kwa busara ilivuma Ila si kweli.
Kuzushia kifo hao waliozusha huko marekani nilikuwa Mimi, ?View attachment 2850442Acha basi kuzushia watu vifo, sidhani kuna umuhimu wa kupinga vitu bila evidence....
No evidence no right to speak....
Nilisoma hapa, Jambo la kusema habari zilikuwepo na nizahuzushi na zilianzia huko majuu, mengine ni Kama mashindano wakati hatupati faida.
Mimi simlaumu huyo unayemjua wewe ila mimi nakulaumu wewe unayeshupaza shingo na kuendelea kuvumisha usichokuwa na uhakika nacho, hebu usiwe kama kinda la ndege linalongoja kulishwa na mama yakeKuzushia kifo hao waliozusha huko marekani nilikuwa Mimi, ?
Chenga huyo katoa boko halafu bado anatak ajifanye mwamba.Mimi simlaumu huyo unayemjua wewe ila mimi nakulaumu wewe unayeshupaza shingo na kuendelea kuvumisha usichokuwa na uhakika nacho, hebu usiwe kama kinda la ndege linalongoja kulishwa na *****.
Jiongeze na uwe unatafuta evidence za uhakika siyo habari za vichochoroni unaleta J.F....
Ni Olympic ya 2012 hilo londonlinaitwaje maana umeweka lenye mb kibao
ngoja niicheki chapNi Olympic ya 2012 hilo london