Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

Je, unafahamu kwanini maisha yako yameandamwa na mikosi pamoja na Mambo mabaya?

I'll be waiting for you
Here inside my heart
I'm the one who wants to love you more
You will see I can give you
Everything you need
Let me be the one to love you more
Some way all the love that we had can be saved
Whatever it takes we'll find a way
images (68).jpeg
 
SALUTE

Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye maisha yako hadi ukabaki unashanga. Yaani jambo fulani baya au zuri linakufata wewe tu kila siku hadi unajiuliza Why me?

Mfano uko mtaani kila tukio baya likitokea basi unahusishwa, unaweza kuta yaani wewe kila mwanaume anayekufata ni ni wa aina fulani usiyoipenda, labda mwizi, muhuni, mweusi, mfupi, mjinga nk.

Kwa upande wa wanaume nadhani hii inawatokea sana utasikia kabisa mtu anasema "Aisee mimi nina bahati na wanawake weupe/walimu/manesi/wanawake washamba nk nk. Yote haya ni maisha yetu ya kila siku ya sisi wanadamu, wengi hatuelewi kwanini hii inatokea hivi lakini ni vitu ambavyo vinahusiana na mambo ya kiroha na Kiasili (nature).

Lakini hadi mtu yanamtokea mambo haya bila yeye mwenyewe kujua hua nini kinafanyika? Hapa nitaenda kuelezea zaidi jinsi mambo mabaya yanavyokua yanaambatana nasi pasipo sie kupenda. Ili nieleweke vizuri nitatumia terminologies za kwenye mambo ya teknoloji.

Kwenye Computer Processors kuna kitu kinaitwa Caches, hii ni sehemu ambapo ukifinya kitu fulani kwenye computer basi kile kitu kinahifadhiwa huko ndani ili ukitaka kukitumia tena basi kinafanyiwa kazi kwa haraka zaidi. Pia kuna kitu kingine kinaitwa HTTP Cookie hizi zinafahamika pia kama Web cookie, browser cookie, internet cookie. Hizi ni data ndogondogo ambazo huchukuliwa kwenye web, internet, browser n.k na kuhifadhiwa kwenye Computer wakati mtumiaji yuko anaperuzi. Kazi yake ni kurekodi mambo yote ambayo mtumiaji (user) anayafanya kwenye internet mfano. Zinarekodi Password, page ipi umetembelea, Majina, nk. Hayo yote yanakusaidia wewe mtumiaji wa internet utakapotaka kuperuzi mitandaoni basi iwe rahisi kutumia.

Kwa upande wa Google huko wao wana project yao wanaita Hummingbird, hii ni alogarithm ambayo inafanya kazi ya kumwezesha mtumiaji wa huduma za google (Hasa YouTube na Google as Search engine) kupata huduma hizo kwa urahisi na kwa haraka...wanasema Google inakujua kuliko mama yako mzazi, Ni kweli.

Unapotafuta kitu Google chochote Hummingbird inarekodi kila kitu baadae ukitaka kuitumia tena inakuletea vitu kama vile ulivyotafuta mwanzo. Ndio maana ukitafuta kitu fulani YouTube ukaangalia ukamaliza labda ukatoka huko baadae ukirudi tena youtube utakuta video mbalimbali zinazoshabihiana na zile ulizoangalia mwanzo.

Yes kwakua Google wanakua washajua ni vitu gani unapendelea ili usisumbuke kuandika wanakuletea hapo kwenye homepage as suggestion posts.

Sasa turudi kwenye mada kuu, mada yetu inahusu kwanini mambo fulani (upande wa ubaya) yanaweza kua yanakufata wewe tu!. Kwenye moja ya post zangu zilizopita nilieleza kua Roho ya binaadamu ndio inabeba taarifa ya kila kitu kukuhusu wewe, so nikachukulia kwamba Roho ya binaadamu ni kama BIOS CHIP (ROM) iliyopo kwenye Motherboard ya Computer halafu mwili wetu ni kama kasha la nje la Computer. Unapokufa Mungu anachomoa Bios chip tu iliyo na taarifa zako!

Leo twende tofati kidogo, tuchukulie Roho ni HummingBird au Cookie au Cache japo mimi nitapendelea tuichukulie kama HummingBird. Roho (Soul) imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni Mind, Intellect na Impression. Mind ndio inahusika kwenye kufikiria, hasa kwenye kutambua lipi baya na lipi zuri. Kwenye Mind kuna kitu kinaitwa Subconcious Mind hii ndio sehemu kuu ya Roho (Soul) ambayo kazi yake ni kurekodi shughuli zetu za kila siku ziwe za kimwili au kiroho.

Sasa kwenye maisha halisi ipo hivi, unapofanya kitu fulani roho(subconcious mind) yako inarekodi. Labda siku moja uliwahi kuwa na mahusiano/ Kutongozwa/za na mwanaume au mwanamke ambao kwako wewe ambae wewe unaona hakufai, roho yako inahifadhi taarifa kwamba uko interested na watu wa namna hiyo. Au siku moja imetokea umeiba kitu roho itahifadhi taarifa. Siku umeenda jela basi roho itasevu. siku ukitembea na mtu aliekuzidi umri roho itahifadhi nk. Kwa upande wa Psychology roho tunasema kwamba Roho (Subconcious mind) inafanya kazi kwa ukaribu zaidi au inashirikiana katika kutenda kazi na Nature.

Kwa hiyo sasa unapofanya kitu fulani roho yako ikakihifadhi, baadae Roho itawasiliana na Nature kwamba unapenda vitu fulani hivyo nature itakua inakuletea vitu hivyo mara kwa mara. Hiki kitendo nature kuwasiliana na roho kisha kukuletea yale usiyoyapenda ndio tunaita MKOSI.

Mfano: Mbaba aliyekuzidi umri kakutongoza wewe kwa kua unashida zako ukamkubalia roho inahifadhi. Baadae itawasiliana na nature kua fulani anapenda wanaume wa umri fulani kisha nature itakuletea mwingine kama suggestion. ukikubali tena na tena basi ndio itakua tabia yako kabisa. Hii ipo kwa kila kitu iwe kibaya au kizuri.

Je, tufanyaje ili kuepuka mambo mabaya yanayotuandama?

Kwenye Computer ili kuziepuka cookies baada ya kutumaliza kuperuza mitandaoni inatakiwa uende upande wa setting kisha chagua Clear Cookies ili kuondoa kumbukumbu zote zote za kuperuzi siku hiyo. Kwa upande wa Google kubaki na taarifa zako. Huwa tunashauri kutumia Search Engine ya Duck Duck Go, Hii web ni nzuri zaidi maana hua ina clear taarifa zako zote baada ya kumaliza kuitumia..ina mengi mazuri ya kiusalama hasa kwenye taarifa za utumiaji wa kila siku (Browsing History). Jamani siipigii debe hii web, ni kuwaweka sawa tu na mada yetu hii. Sasa kuclear cookies au kuondoa mikosi kwenye maisha kuna mambo kadha ambayo tutayafanya.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini mtu akitoka jela au mahabusu (kituoni) zile nguo alizoenda nazo huwa zinatupwa, pia itabidi aoge kabisa kabla hajaingia ndani, wengine huenda mbali zaidi kwa kuogeshwa dawa za mitishamba ili kuondoa mikosi. Hapo sasa ndio kitendo cha kuclearcookies. Wanafuta taarifa zote zilizomo kwenye roho zihusuzo jela. ni mfano tu huu ila hizi hapa chini ni njia zangu amabazo mimi kwa ufahamu wangu nadhani tukizitumia tutaweza kuondoa mshikamano wa mambo mabaya kwenye maisha yetu (Mikosi)​
  • Kujua Preferences zako
Ili kuondoa kushikamana na mambo mabaya maishani inabidi mtu ujitambue wewe binafsi unapenda nini hasa. Je unapenda Kuwa mwema? Unapenda kuiba?unapenda mwanamke wa namna fulani?unapenda mwanaume wa aina fulani nk nk.. ukishajua ukipendacho basi futa yale uyapendayo nawe yatakua yanashikamana nawe.

Hatima yako ipo mikononi mwako, usiache Nature ikuchagulie Hatima yako kwa vitu ambavyo hupendi. Hivyo basi tukisha tambua yale tunayoyapenda na kuayafuata tutaifanya nature ituletee yale pia mabayo tunayapenda.Hapo tutakua tumekwepa kufuatwa na mabaya.​
  • Kujiondoa kwenye mikosi. (Kuclear Cookies maishani)
Jamani maishani huwezi kua smart muda wote Nature always win!!!, ipo siku utanasa tu. Sasa hapa labda tuseme umeshavuruga mambo maisha yamejaa mikosi na mabaya yanakuandama. Hapa sasa tutaangalia jinsi ya kuondoa hayo mambo.

1. Tutumie Chumvi na maji, Usishangae sio uganga wala uchawi. Chumvi ni dawa nzuri sana kwa binaadamu nadhani member wengi wameielezea sana humu, sina haja ya kueleza zaidi. Cha msingi chukua chumvi ile ghafi ambayo haijapita kiwandani changanya na maji kisha nuia unavyotaka kisha oga. Hata nabii Ezra aliambiwa na Mungu achanganye maji naNchumvi kisha kuwapatia wana wa Israel wajitakase, ndio maana kwetu RC kuna maji ya baraka yenye Chumvi.

Kama utakua karibu na bahari itapendeza kabisa wewe ni kwenda na kujitupa tu majini maana huko chumvi kibao

2. Mshirikishe Mungu unayemuamini hata kama ni mzimu, hapo inabidi uombe toba kabisa, mweleze mapungufu yako na mahitaji yako kua unataka kuwa mtu mpya, mambo mabaya hutaki kushirikiana nayo. Piga sala sana na ibada kadri uwezavyo. Almighty atakuelewa na kukusafisha uwe mpya.

Maisha bana is all about determing yourself waganga, manabii na mashehe Sharifu wanatuibia tu kwa kuwa wanajua elimu tunayo kidogo, hatujitambui. Tujifunzeni kujitambua hatutasubiria kuombewa na nabii. Wao wanacheza na Psychology ambapo huko watu wengi ni watupu sa tunapigwa tuuu!!!

NOTE. Ahsante Mungu kwa yote uliyonijalia hasi umeniwezesha kuandika mada hii.
End....

Kama umepende Like, Comment then share kwa wenzio.

~Da'Vinci
el maestro.
This was dope!
 
Hii tabia mbaya sana kukata Maneno na kuQuote sehemu unayotaka wewe



Story yako ni ndefu sana na nisingeweza ku quote yote na isitoshe sikutaka ku quote yote ilhali sehemu niliyodhani inahusika ni ni ndogo tu, hata hivyo hii hapa nime quote.

2. Mshirikishe Mungu unayemuamini hata kama ni mzimu, hapo inabidi uombe toba kabisa, mweleze mapungufu yako na mahitaji yako kua unataka kuwa mtu mpya, mambo mabaya hutaki kushirikiana nayo. Piga sala sana na ibada kadri uwezavyo. Almighty atakuelewa na kukusafisha uwe mpya.
 
Story yako ni ndefu sana na nisingeweza ku quote yote na isitoshe sikutaka ku quote yote ilhali sehemu niliyodhani inahusika ni ni ndogo tu, hata hivyo hii hapa nime quote.
Swala la Mungu kila mmoja anajua anavyomwelewa Mungu wake. Mizimu,miti,ngombe,sanamu nk. As long as kitu hicho wakiita Mungu. Kila mtu ana Mungu wake anayemuamini
 
Swala la Mungu kila mmoja anajua anavyomwelewa Mungu wake. Mizimu,miti,ngombe,sanamu nk. As long as kitu hicho wakiita Mungu. Kila mtu ana Mungu wake anayemuamini


Nakubaliana nawe 100%, lakini imani za mizimu zimekuwa ni chanzo kikubwa cha mambo mengi ya kishirikina na mara nyingi yakihusisha mambo ya kikatili dhidi ya ubinadamu, katika dini za Abrahamic Ushirikina ndio dhambi kubwa kabisa kupita zote na ipo wazi kwamba mtu akishakuwa mshirikina anaweza kufanya jambo lolote "analoamrishwa" na "mizimu", kifupi ni kwamba lengo langu ni utambue kuwa dini au imani za mizimu ni jambo la kupigwa vita kabisa katika zama hizi za kisasa zama za elimu kubwa za dini, sayansi nk.

Imani za Mizimu hazina nafasi tena na haziendani na kasi maendeleo ya kisasa.
 
Nakubaliana nawe 100%, lakini imani za mizimu zimekuwa ni chanzo kikubwa cha mambo mengi ya kishirikina na mara nyingi yakihusisha mambo ya kikatili dhidi ya ubinadamu, katika dini za Abrahamic Ushirikina ndio dhambi kubwa kabisa kupita zote na ipo wazi kwamba mtu akishakuwa mshirikina anaweza kufanya jambo lolote "analoamrishwa" na "mizimu", kifupi ni kwamba lengo langu ni utambue kuwa dini au imani za mizimu ni jambo la kupigwa vita kabisa katika zama hizi za kisasa zama za elimu kubwa za dini, sayansi nk.

Imani za Mizimu hazina nafasi tena na haziendani na kasi maendeleo ya kisasa.
But mada hii haikua special kwa ajili ya washirika wa Dini za ibrahim pekee
 
But mada hii haikua special kwa ajili ya washirika wa Dini za ibrahim pekee


Mkuu ninakuelewa, ila usichonielewa ni; Dini ya mizimu ni Uncivilised religion, ni dini kwa kiasi kikubwa inahamasisha ushirikina nk, ushirikina ni moja ya vitu vinavyochochea inhumanity katika jamii, mfano vitendo vya kuua albino na vikongwe nk, hayo ni mambo yanayoambatana na imani za kishirikina na mizimu nk, sasa katika mada yako unapojumuisha imani za mizimu hiyo ni sawa na kuunga mkono indirectly vitendo viovu vinavyoambatana na imani za mizimu/ushirikina, na ndio maana mimi nikaona hapo kidogo uliteleza.

Mfano, duniani kuna starehe nyingi sana, sasa mtu aandike mada inayohamasisha watu baada ya kuchoka na kazi wafanye starehe ili kujiliwaza na uwaambie; kila mtu anatakiwa afanye starehe anayoipenda ili kujiongezea maisha na afya tele, starehe za kufanya ni pamoja na:- kuangalia mpira, kucheza draft, kunywa soda, kusikiliza mziki, kunywa pombe, kufanya ngono na malaya nk,----

Kufanya ngono na malaya na kunywa pombe kwa baadhi ya watu hizo ni starehe lakini katika morality huwezi kuzitia katika kundi la starehe kwa maana hiyo hiyo mada ya starehe itakuwa imeunga mkono immortality indirectly japo the theme was invariable about recreations.

Point yangu ipo hapo, kwamba chochote unachokiandika pima its negative impact, hakuna mahali ambapo kuna imani za mizimu na ukose kuona imani za kishirikina na uncivilizations, underdevelopment na mambo ya kishenzi.
 
Nakubaliana nawe 100%, lakini imani za mizimu zimekuwa ni chanzo kikubwa cha mambo mengi ya kishirikina na mara nyingi yakihusisha mambo ya kikatili dhidi ya ubinadamu, katika dini za Abrahamic Ushirikina ndio dhambi kubwa kabisa kupita zote na ipo wazi kwamba mtu akishakuwa mshirikina anaweza kufanya jambo lolote "analoamrishwa" na "mizimu", kifupi ni kwamba lengo langu ni utambue kuwa dini au imani za mizimu ni jambo la kupigwa vita kabisa katika zama hizi za kisasa zama za elimu kubwa za dini, sayansi nk.

Imani za Mizimu hazina nafasi tena na haziendani na kasi maendeleo ya kisasa.
Unakataa imani za mababu zako unafuata imani wa waarabu na wazungu,sio ujinga huo[emoji706][emoji706][emoji706]
 
Unakataa imani za mababu zako unafuata imani wa waarabu na wazungu,sio ujinga huo[emoji706][emoji706][emoji706]


Suala sio imani imetoka wapi suala ni imani ipi ni sahihi na inayoingia akilini, kama Babu yako aliamini Mbwa ndiye Mungu wake na wewe utafuata imani hiyo sababu tu ni imani ya Babu yako ???------ huo si ujuha tu bali ni upumbavu pia.
 
SALUTE

Maisha ni safari ndefu yenye mabonde na mashimo tu Yenye matumaini tu huku raha zikiwa chache mateso na taabu yamejaa! Kuna mambo yanaweza au yanatokea kwenye maisha yako hadi ukabaki unashanga. Yaani jambo fulani baya au zuri linakufata wewe tu kila siku hadi unajiuliza Why me?

Mfano uko mtaani kila tukio baya likitokea basi unahusishwa, unaweza kuta yaani wewe kila mwanaume anayekufata ni ni wa aina fulani usiyoipenda, labda mwizi, muhuni, mweusi, mfupi, mjinga nk.

Kwa upande wa wanaume nadhani hii inawatokea sana utasikia kabisa mtu anasema "Aisee mimi nina bahati na wanawake weupe/walimu/manesi/wanawake washamba nk nk. Yote haya ni maisha yetu ya kila siku ya sisi wanadamu, wengi hatuelewi kwanini hii inatokea hivi lakini ni vitu ambavyo vinahusiana na mambo ya kiroha na Kiasili (nature).

Lakini hadi mtu yanamtokea mambo haya bila yeye mwenyewe kujua hua nini kinafanyika? Hapa nitaenda kuelezea zaidi jinsi mambo mabaya yanavyokua yanaambatana nasi pasipo sie kupenda. Ili nieleweke vizuri nitatumia terminologies za kwenye mambo ya teknoloji.

Kwenye Computer Processors kuna kitu kinaitwa Caches, hii ni sehemu ambapo ukifinya kitu fulani kwenye computer basi kile kitu kinahifadhiwa huko ndani ili ukitaka kukitumia tena basi kinafanyiwa kazi kwa haraka zaidi. Pia kuna kitu kingine kinaitwa HTTP Cookie hizi zinafahamika pia kama Web cookie, browser cookie, internet cookie. Hizi ni data ndogondogo ambazo huchukuliwa kwenye web, internet, browser n.k na kuhifadhiwa kwenye Computer wakati mtumiaji yuko anaperuzi. Kazi yake ni kurekodi mambo yote ambayo mtumiaji (user) anayafanya kwenye internet mfano. Zinarekodi Password, page ipi umetembelea, Majina, nk. Hayo yote yanakusaidia wewe mtumiaji wa internet utakapotaka kuperuzi mitandaoni basi iwe rahisi kutumia.

Kwa upande wa Google huko wao wana project yao wanaita Hummingbird, hii ni alogarithm ambayo inafanya kazi ya kumwezesha mtumiaji wa huduma za google (Hasa YouTube na Google as Search engine) kupata huduma hizo kwa urahisi na kwa haraka...wanasema Google inakujua kuliko mama yako mzazi, Ni kweli.

Unapotafuta kitu Google chochote Hummingbird inarekodi kila kitu baadae ukitaka kuitumia tena inakuletea vitu kama vile ulivyotafuta mwanzo. Ndio maana ukitafuta kitu fulani YouTube ukaangalia ukamaliza labda ukatoka huko baadae ukirudi tena youtube utakuta video mbalimbali zinazoshabihiana na zile ulizoangalia mwanzo.

Yes kwakua Google wanakua washajua ni vitu gani unapendelea ili usisumbuke kuandika wanakuletea hapo kwenye homepage as suggestion posts.

Sasa turudi kwenye mada kuu, mada yetu inahusu kwanini mambo fulani (upande wa ubaya) yanaweza kua yanakufata wewe tu!. Kwenye moja ya post zangu zilizopita nilieleza kua Roho ya binaadamu ndio inabeba taarifa ya kila kitu kukuhusu wewe, so nikachukulia kwamba Roho ya binaadamu ni kama BIOS CHIP (ROM) iliyopo kwenye Motherboard ya Computer halafu mwili wetu ni kama kasha la nje la Computer. Unapokufa Mungu anachomoa Bios chip tu iliyo na taarifa zako!

Leo twende tofati kidogo, tuchukulie Roho ni HummingBird au Cookie au Cache japo mimi nitapendelea tuichukulie kama HummingBird. Roho (Soul) imegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni Mind, Intellect na Impression. Mind ndio inahusika kwenye kufikiria, hasa kwenye kutambua lipi baya na lipi zuri. Kwenye Mind kuna kitu kinaitwa Subconcious Mind hii ndio sehemu kuu ya Roho (Soul) ambayo kazi yake ni kurekodi shughuli zetu za kila siku ziwe za kimwili au kiroho.

Sasa kwenye maisha halisi ipo hivi, unapofanya kitu fulani roho(subconcious mind) yako inarekodi. Labda siku moja uliwahi kuwa na mahusiano/ Kutongozwa/za na mwanaume au mwanamke ambao kwako wewe ambae wewe unaona hakufai, roho yako inahifadhi taarifa kwamba uko interested na watu wa namna hiyo. Au siku moja imetokea umeiba kitu roho itahifadhi taarifa. Siku umeenda jela basi roho itasevu. siku ukitembea na mtu aliekuzidi umri roho itahifadhi nk. Kwa upande wa Psychology roho tunasema kwamba Roho (Subconcious mind) inafanya kazi kwa ukaribu zaidi au inashirikiana katika kutenda kazi na Nature.

Kwa hiyo sasa unapofanya kitu fulani roho yako ikakihifadhi, baadae Roho itawasiliana na Nature kwamba unapenda vitu fulani hivyo nature itakua inakuletea vitu hivyo mara kwa mara. Hiki kitendo nature kuwasiliana na roho kisha kukuletea yale usiyoyapenda ndio tunaita MKOSI.

Mfano: Mbaba aliyekuzidi umri kakutongoza wewe kwa kua unashida zako ukamkubalia roho inahifadhi. Baadae itawasiliana na nature kua fulani anapenda wanaume wa umri fulani kisha nature itakuletea mwingine kama suggestion. ukikubali tena na tena basi ndio itakua tabia yako kabisa. Hii ipo kwa kila kitu iwe kibaya au kizuri.

Je, tufanyaje ili kuepuka mambo mabaya yanayotuandama?

Kwenye Computer ili kuziepuka cookies baada ya kutumaliza kuperuza mitandaoni inatakiwa uende upande wa setting kisha chagua Clear Cookies ili kuondoa kumbukumbu zote zote za kuperuzi siku hiyo. Kwa upande wa Google kubaki na taarifa zako. Huwa tunashauri kutumia Search Engine ya Duck Duck Go, Hii web ni nzuri zaidi maana hua ina clear taarifa zako zote baada ya kumaliza kuitumia..ina mengi mazuri ya kiusalama hasa kwenye taarifa za utumiaji wa kila siku (Browsing History). Jamani siipigii debe hii web, ni kuwaweka sawa tu na mada yetu hii. Sasa kuclear cookies au kuondoa mikosi kwenye maisha kuna mambo kadha ambayo tutayafanya.

Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini mtu akitoka jela au mahabusu (kituoni) zile nguo alizoenda nazo huwa zinatupwa, pia itabidi aoge kabisa kabla hajaingia ndani, wengine huenda mbali zaidi kwa kuogeshwa dawa za mitishamba ili kuondoa mikosi. Hapo sasa ndio kitendo cha kuclearcookies. Wanafuta taarifa zote zilizomo kwenye roho zihusuzo jela. ni mfano tu huu ila hizi hapa chini ni njia zangu amabazo mimi kwa ufahamu wangu nadhani tukizitumia tutaweza kuondoa mshikamano wa mambo mabaya kwenye maisha yetu (Mikosi)​
  • Kujua Preferences zako
Ili kuondoa kushikamana na mambo mabaya maishani inabidi mtu ujitambue wewe binafsi unapenda nini hasa. Je unapenda Kuwa mwema? Unapenda kuiba?unapenda mwanamke wa namna fulani?unapenda mwanaume wa aina fulani nk nk.. ukishajua ukipendacho basi futa yale uyapendayo nawe yatakua yanashikamana nawe.

Hatima yako ipo mikononi mwako, usiache Nature ikuchagulie Hatima yako kwa vitu ambavyo hupendi. Hivyo basi tukisha tambua yale tunayoyapenda na kuayafuata tutaifanya nature ituletee yale pia mabayo tunayapenda.Hapo tutakua tumekwepa kufuatwa na mabaya.​
  • Kujiondoa kwenye mikosi. (Kuclear Cookies maishani)
Jamani maishani huwezi kua smart muda wote Nature always win!!!, ipo siku utanasa tu. Sasa hapa labda tuseme umeshavuruga mambo maisha yamejaa mikosi na mabaya yanakuandama. Hapa sasa tutaangalia jinsi ya kuondoa hayo mambo.

1. Tutumie Chumvi na maji, Usishangae sio uganga wala uchawi. Chumvi ni dawa nzuri sana kwa binaadamu nadhani member wengi wameielezea sana humu, sina haja ya kueleza zaidi. Cha msingi chukua chumvi ile ghafi ambayo haijapita kiwandani changanya na maji kisha nuia unavyotaka kisha oga. Hata nabii Ezra aliambiwa na Mungu achanganye maji naNchumvi kisha kuwapatia wana wa Israel wajitakase, ndio maana kwetu RC kuna maji ya baraka yenye Chumvi.

Kama utakua karibu na bahari itapendeza kabisa wewe ni kwenda na kujitupa tu majini maana huko chumvi kibao

2. Mshirikishe Mungu unayemuamini hata kama ni mzimu, hapo inabidi uombe toba kabisa, mweleze mapungufu yako na mahitaji yako kua unataka kuwa mtu mpya, mambo mabaya hutaki kushirikiana nayo. Piga sala sana na ibada kadri uwezavyo. Almighty atakuelewa na kukusafisha uwe mpya.

Maisha bana is all about determing yourself waganga, manabii na mashehe Sharifu wanatuibia tu kwa kuwa wanajua elimu tunayo kidogo, hatujitambui. Tujifunzeni kujitambua hatutasubiria kuombewa na nabii. Wao wanacheza na Psychology ambapo huko watu wengi ni watupu sa tunapigwa tuuu!!!

NOTE. Ahsante Mungu kwa yote uliyonijalia hasi umeniwezesha kuandika mada hii.
End....

Kama umepende Like, Comment then share kwa wenzio.

~Da'Vinci
el maestro.

Shukrani kwa mada, mkuu

Umeielezea vizuri sanaa, hasa kwenye mfano wa komputa na binadamu, vitu vingi vinavyotutokea sio bahati mbaya, bali ni matokeo ya matamanio, vitu tunavyowaza au kufanya mara kwa mara

Wataalamu wanasema mambo mengi mazuri au mabaya yanayotutokea, husababishwa na sisi wenyewe kwa asilimia 90. Eidha kwa kujua au kutojua kupitia kitu au vitu tunavyoamini / matamanio ya nafsi (Affirmations / subconscious mind).

Unaukumbuka huu msemo “Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.” Ukweli ni kwamba sub conscious mind ya binadamu haijui baya wala zuri, bali hupokea chochote unachokiamini, ndio maana kuna msemo wa “ be areful what you wish for, you just might get it”

Natamani hii mada iwafikie watu wengi ili waelewe na kutumia vizuri uwezo / nguvu walizo nazo. Watu wengi wanashindwa au wanafanikiwa kwa sababu ya mitazamo waliojijengea au kujengewa na mazingira, shule, dini na wazazi, hasa utotoni.

Ipo mifano mingi… Hinduism, Buddhism, wa-Islam, wa-Kristo na wa-pagani wanamuomba Mungu na wote wanafanikiwa! Unaweza kujiuliza Mungu yupi ni sahihi? au mbona wengine wanaomba mizimu na wanafakiwa?… Wajuzi zaidi watatusaidia hapa [emoji120]
 
Shukrani kwa mada, mkuu.
Asante sana mkuu, Shukrani it really means something to me✌️
Umeielezea vizuri sanaa, hasa kwenye mfano wa komputa na binadamu, vitu vingi vinavyotutokea sio bahati mbaya, bali ni matokeo ya matamanio, vitu tunavyowaza au kufanya mara kwa mara

Wataalamu wanasema mambo mengi mazuri au mabaya yanayotutokea, husababishwa na sisi wenyewe kwa asilimia 90. Eidha kwa kujua au kutojua kupitia kitu au vitu tunavyoamini / matamanio ya nafsi (Affirmations / subconscious mind).
Kweli kabisa kiongozi hili nimejaribu kuelezea kwenye mada ya Mind Illusion projection, Mind data storing na kulazimisha mapenzi.
Unaukumbuka huu msemo “Aliwazalo mjinga ndilo litakalo mtokea.” Ukweli ni kwamba sub conscious mind ya binadamu haijui baya wala zuri, bali hupokea chochote unachokiamini, ndio maana kuna msemo wa “ be areful what you wish for, you just might get it”
Kweli kabisa mkuu
Natamani hii mada iwafikie watu wengi ili waelewe na kutumia vizuri uwezo / nguvu walizo nazo. Watu wengi wanashindwa au wanafanikiwa kwa sababu ya mitazamo waliojijengea au kujengewa na mazingira, shule, dini na wazazi, hasa utotoni.
Vijana wa sasa hizi habari hawazipendi wazee ndio tunazisoma mkuu.
Ipo mifano mingi… Hinduism, Buddhism, wa-Islam, wa-Kristo na wa-pagani wanamuomba Mungu na wote wanafanikiwa! Unaweza kujiuliza Mungu yupi ni sahihi? au mbona wengine wanaomba mizimu na wanafakiwa?… Wajuzi zaidi watatusaidia hapa [emoji120]
Mkuu hapa umenifirisha, je unaweza kuhisi ni kwanini inakua hivi?? Ngoja nami nigikirie..
 
Uko sawa kabisa labda sijawasilisha point yangu vizuri ninachomaanisha ni haijalishi jambo gani limetokea nitalichukulia ktk mtazamo chanya na si kujiambia nina bahati mbaya japo najua bahati mbaya ipo.

Eti a random guy! Yu
Nilikuomba unipe utajiri ili nipate kujaa furaha, nawe ukanipa ufukara nipate kuishi kwa busara.Nilikuomba unipe nguvu nipatekufanikiwa, nawe ukanipa udhaifu nipate kumnyenyekea Mungu.

Nilikuomba unipe afya nipate kutenda mambo makuu, Nawe ukanipa maradhi nipate kutenda mambo mema zaidi.
Nilikuomba unipe kila kitu nipate kufurahia maisha, nawe ukanipa uhai nipate kufaidi vitu vyote.

Umenihurumia umenijalia mema yote, Nasema Ahsante kwa wema wako Mungu, Umeninyima niliyokuomba ila umenipa yanayonifaa. Nami nasema kati ya watu wote nimebarikiwa mnoo
Eeh Mungu Ahsante 😴😴😢😢😢
 
Nalimngoja bwana kwa zaburi, akakisikia kilio changu. Akanipandisha toka shimo la uharibufu toka udongo wa utelezi, akaisimamisha miguu yangu na kuimarisha hatua zangu.
 
Back
Top Bottom