Je, unafahamu Ukweli usiosemwa na Wanawake kuhusu Kupenda?

Sasa cha ajabu tunakutana na vibaka wa kike ukifanya yote hayo anachomoa betri, tuachane na kuwinda vibaka, wamejaa mno kitaa
 
Niliwahi tizama filamu moya ya kizungu inaitwa titnic nikaamini wanaume ndio mwenye upendo wa dhati

Nishawahi soma bibilia nikasoma ile hadithi ya samson aliemhusudu delila utagundua samson ndio aliempemda zaidi delila

Nishawahi sikiliza wimbo wa Freshy Mwambuli uitwao STELLA ukisikiliza utagundua kuwa fresy mwambuli ndio aliempenda bi.stella

kwa hio basi siwezi sita kusema kuwa wanaume wote ni waamifu watiifu na watu wenye moyo
 
hizo cases ziko valid but doesn't some up significantly to disregard some millions of women who broke virginity for us men, I think something hidden women also have inborn love to some Men though they are naturally material seekers. Womanizers are also in millions numbers
 
"Ila Mimi na Wewe tunaouwezo wa kuishi na Mwanamke hata Kama hatoi chochote"

Taikoni unaweza kuishi na mwanamke ambae hakupi mbususu?

"Ila Mimi na Wewe tunaouwezo wa kuishi na Mwanamke hata Kama hatoi chochote"

Taikoni unaweza kuishi na mwanamke ambae hakupi mbususu?


🀣🀣🀣🀣

Kyekyeee!
 
Anyway pesa ndio muhimu mapenzi hata binafsi wenyewe utajipatia
 
Dem wa kibongo umpe maua tu
Atakuelewa kweli!
Pesa mbeleeee

Ova
 
Dem wa kibongo umpe maua tu
Atakuelewa kweli!
Pesa mbeleeee

Ova
mrangi kuweni serious jamani.
Maua ya nini?bora uniletee mchaimchai nitatumia kama kiungo cha chai.

Kwenye pesa ninakuunga mkono.
 
mrangi kuweni serious jamani.
Maua ya nini?bora uniletee mchaimchai nitatumia kama kiungo cha chai.

Kwenye pesa ninakuunga mkono.
Unaweza kuwa na mahusiano na.mwanamke
Sim yake akipiga unaona nuksi
Ukimuona anakuja unaweza kula kona maana kila dk,saa ni pesa,mizinga

Ova
 
Ulipo malizia ndo ulipo haribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…