Je? Unafahamu uliyenaye muda huu kwenye mapenzi anatafuta mwingine ambaye ni perfect kwake?

Je? Unafahamu uliyenaye muda huu kwenye mapenzi anatafuta mwingine ambaye ni perfect kwake?

mockers

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2013
Posts
12,843
Reaction score
35,442
Hilo ni swali kwa jinsia zote yaani Me na Ke ,
Uhalisia ulivo kwanza kwenye mahusiano asikudanganye mtu kua uko peke yako , mwanamke au mwanamme akikueleza uko peke yako huo unakua uongo wa wazi,

Hii haijalishi umeolewa, umeona, haujaolewa, Una mchumba , hauna mchumba,
Asili ya binadamu ni kupata ladha mpya kila wakati na hii ni kwa binadamu wote,
98% watu hucheat kwa akili Sana sema inakua Siri yao tena anaweza kumwita mtu Dada au Kaka lakini ni kiini macho tu watu wanapeana wanachotaka,

Kwahiyo kwa uhakika uliyenaye kwenye mahusiano muda huu akipata mtu ambae ana sifa anazotaka tofauti na zako ataliwa au atakula mzigo bila wewe kukua,
Usijekuambiwa uko peke yako ukavimba kichwa au isije mtu akasema Mimi mambo ya wanawake au mambo ya wanaume sitaki nawe ukakubali

Hakuna mtu mwenye hisia atakaa siku 120 , bila kufanya au kufanywa haipo hiyo na haitokuja kutokea,
Hivo ukiona umecheatiwa uufahamu ndio uhalisia wala sio bahati mbaya,
Na mtu akicheat akanogewa au perfection ya aliyempata ikawa kubwa kuliko yako hapo ndio utaambiwa it's over,

Utaanza kuona visa wewe jiongeze songa mbele endelea na maisha yako usichukue muda mrefu kubembeleza mapenzi ,

Ukiona kila siku unabembeleza mapenzi fahamu hayo mapenzi yalikwisha muda mrefu hapo mnayasindikiza yatokomee kabisa kwa migogoro ya hapa na vile,

Usijaribu kumdhuru mwenzako kwenye Hali hiyo chukulia kawaida tu songa mbele, na kule anakoenda atakuta tena madhaifu ya hapa na pale atasonga mbele pia ,
Huo ndio ubinadamu mengine mtadanganyana tu.
 
Hilo ni swali kwa jinsia zote yaani Me na Ke ,
Uhalisia ulivo kwanza kwenye mahusiano asikudanganye mtu kua uko peke yako , mwanamke au mwanamme akikueleza uko peke yako huo unakua uongo wa wazi,
Hii haijalishi umeolewa, umeona, haujaolewa, Una mchumba , hauna mchumba,
Asili ya binadamu ni kupata ladha mpya kila wakati na hii ni kwa binadamu wote,
98% watu hucheat kwa akili Sana sema inakua Siri yao tena anaweza kumwita mtu Dada au Kaka lakini ni kiini macho tu watu wanapeana wanachotaka,
Kwahiyo kwa uhakika uliyenaye kwenye mahusiano muda huu akipata mtu ambae ana sifa anazotaka tofauti na zako ataliwa au atakula mzigo bila wewe kukua,
Usijekuambiwa uko peke yako ukavimba kichwa au isije mtu akasema Mimi mambo ya wanawake au mambo ya wanaume sitaki nawe ukakubali,
Hakuna mtu mwenye hisia atakaa siku 120 , bila kufanya au kufanywa haipo hiyo na haitokuja kutokea,
Hivo ukiona umecheatiwa uufahamu ndio uhalisia wala sio bahati mbaya,
Na mtu akicheat akanogewa au perfection ya aliyempata ikawa kubwa kuliko yako hapo ndio utaambiwa it's over,
Utaanza kuona visa wewe jiongeze songa mbele endelea na maisha yako usichukue muda mrefu kubembeleza mapenzi ,
Ukiona kila siku unabembeleza mapenzi fahamu hayo mapenzi yalikwisha muda mrefu hapo mnayasindikiza yatokomee kabisa kwa migogoro ya hapa na vile,
Usijaribu kumdhuru mwenzako kwenye Hali hiyo chukulia kawaida tu songa mbele, na kule anakoenda atakuta tena madhaifu ya hapa na pale atasonga mbele pia ,
Huo ndio ubinadamu mengine mtadanganyana tu.
Sio kweli, mkuu tupo walio ridhika.
 
Sio kweli, mkuu tupo walio ridhika.
Haitokuja kutokea kwa binadamu mwenye hisia , kama alipenda rangi kwako, kuna pengine atapenda macho na kama ulipenda rangi yake , kuna pengine utapenda makalio au kifua chenye chuchu ziliosimama
 
Namcheat wife mara kadhaa ila siwezi kumuacha sababu nampenda sana. Kwa mujibu wako mtoa Uzi hii tunaiitaje!?
Hata kule juu sijasema kuachana unavocheat kwa sababu zako hata mke wako nae anakucheat hivohivo, kwahiyo unatakiwa uyafahamu hayo ili usiumie mambo yakiharibika ,
 
Niliekua nae anatafuta mganga aniloge
Ndio somo la perfectionism bado unavitu anataka kwako lakini hiyo haimzuii yeye pia kusaka wengine ukizingatia binadamu anataka amiliki zaidi ya anachomiliki muda huo
 
Hilo ni swali kwa jinsia zote yaani Me na Ke ,
Uhalisia ulivo kwanza kwenye mahusiano asikudanganye mtu kua uko peke yako , mwanamke au mwanamme akikueleza uko peke yako huo unakua uongo wa wazi,
Hii haijalishi umeolewa, umeona, haujaolewa, Una mchumba , hauna mchumba,
Asili ya binadamu ni kupata ladha mpya kila wakati na hii ni kwa binadamu wote,
98% watu hucheat kwa akili Sana sema inakua Siri yao tena anaweza kumwita mtu Dada au Kaka lakini ni kiini macho tu watu wanapeana wanachotaka,
Kwahiyo kwa uhakika uliyenaye kwenye mahusiano muda huu akipata mtu ambae ana sifa anazotaka tofauti na zako ataliwa au atakula mzigo bila wewe kukua,
Usijekuambiwa uko peke yako ukavimba kichwa au isije mtu akasema Mimi mambo ya wanawake au mambo ya wanaume sitaki nawe ukakubali,
Hakuna mtu mwenye hisia atakaa siku 120 , bila kufanya au kufanywa haipo hiyo na haitokuja kutokea,
Hivo ukiona umecheatiwa uufahamu ndio uhalisia wala sio bahati mbaya,
Na mtu akicheat akanogewa au perfection ya aliyempata ikawa kubwa kuliko yako hapo ndio utaambiwa it's over,
Utaanza kuona visa wewe jiongeze songa mbele endelea na maisha yako usichukue muda mrefu kubembeleza mapenzi ,
Ukiona kila siku unabembeleza mapenzi fahamu hayo mapenzi yalikwisha muda mrefu hapo mnayasindikiza yatokomee kabisa kwa migogoro ya hapa na vile,
Usijaribu kumdhuru mwenzako kwenye Hali hiyo chukulia kawaida tu songa mbele, na kule anakoenda atakuta tena madhaifu ya hapa na pale atasonga mbele pia ,
Huo ndio ubinadamu mengine mtadanganyana tu.
Ungesimama na upande wa wanawake ningekuunga mkono kuwa akipata mwingine anaolewa anakuacha ni sawa.

Kwa mwanaume ni tofauti mnoo naweza chiti na wanawake hata Saba au zaidi na mke wangu akabaki na heshima Ile Ile Wala sitawaza kuoa kabisaa.

Inshort umedanganya mkuu research Yako imefeli pakubwa sana
 
Mnakosea sana kuweka usawa kati ya mwanaume na mwanamke wakati tunatofautiana kuanzia baiolojia, saikolojia, jinsia na majukumu yake, nafasi kwenye jamii, n.k.
 
Back
Top Bottom