Frumence M Kyauke
JF-Expert Member
- Aug 30, 2021
- 630
- 1,262
Wanajamvi tumeshuhudia wasomi wengi wanaomaliza vyuo tofauti wakianza harakati za kutafuta ajira huku wengine wakijiajiri wenyewe kutokana na sababu tofauti ikiwemo kutaka manufaa makubwa ama kwasababu ya ukosefu wa ajira.
Je ukiwa kama msomi, unafanya kazi zinazoendana na masomo yako?
Kama sivyo, basi tueleze kwanini hufanyi kazi zinazoendana na masomo yako.
Je ukiwa kama msomi, unafanya kazi zinazoendana na masomo yako?
Kama sivyo, basi tueleze kwanini hufanyi kazi zinazoendana na masomo yako.