Magari makubwa yaheshimiwe ila magari madogo wanafunzi wengi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna semi ilinitoa njiani kwa hizo TAA zao ila Mungu mkubwa nilifanikiwa rudi barabaraniWee ilikuaje bwaahe
Pole Sana mkubwa,Mi najipanga nichukue Mandolin kisha niitengeneze ngao nzito ya chuma ili niwe nakula Taa zao.Kweli aisee, Jamaa wa Abood ya Moro - Dar alisababisha nichane tairi pale Bwawani Morogoro, lami ilikuwa imetepeta na kutengeneza kamtaro hivi, sasa yeye ameovateki bila tahadhari anakuja kukutana na mimi kwenye lane yangu analazimisha nimpishe, kutii amri nikaamua kutanua kumbe ndio naichana tairi kwenye lami iliyojitengeneza kama kisu, hapo ni usiku nahangaika kubadili tairi wao wanaendelea na safari yao, nilisikitika sana. Hasara ya kununua tairi mpya sababu ya ubabe wa wenye basi.
Pole Sana mkubwa,Mi najipanga nichukue Mandolin kisha niitengeneze ngao nzito ya chuma ili niwe nakula Taa zao.