Je, unafikiri Moise Katumbi atakuwa chaguo bora kwa Wakongo 2023?

Je, unafikiri Moise Katumbi atakuwa chaguo bora kwa Wakongo 2023?

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Mwaka 1997 Aliyekuwa raisi wa Kongo mobutu aliwahi kusema kuwa ili Kongo ipate amani inahitaji kuongozwa na raisi mzungu.

Je, unafikiri moise katumbi atakuwa chaguo bora kwa wakongo mwaka 2023?

FB_IMG_1665843386976.jpg
 
Simfahamu vizuri huyu mwamba, ila ninachofahamu ni kwamba Congo inahitaji Mwanaume wa Chuma. Mtu alieweka roho rehani kupambana na fitna za majirani wenye tamaa, pamoja na puppets wa mabeberu.

Tofauti na hapo, Congo itaendelea kua shamba la bibi.
 
Moise Katumbi siyo mzungu moja kwa moja, ana unasaba wa kiafrika na asili ya Kongo.
 
Congo ina shida nyingi sana zenye kuhitaji utatuzi, Congo ipo shimoni ina hitaji kuchomolewa huko shimoni na mwanaume mwenye misuli ya akili.
 
Ili congo DR Ipate amani inabid rwanda na Uganda zidhibitiwe haswa

Majimbo mengi yaliyo mikoa ya kusin mwa kongo ndyo yenye utajir mkubwa hasa madini na misitu hvyo manyamela mengi yamezagaa huko kufitinisha wakongoman

MUNISCO nalo n janga jingne badala ya kulinda Aman wao wanawalinda wafanyabiashara wa kimagharibi ili waondoke na maliasili

Kongo ya kaskazn ipo salama Sana Haina Vita wala chokochoko



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Simfahamu vizuri huyu mwamba, ila ninachofahamu ni kwamba Congo inahitaji Mwanaume wa Chuma. Mtu alieweka roho rehani kupambana na fitna za majirani wenye tamaa, pamoja na puppets wa mabeberu.

Tofauti na hapo, Congo itaendelea kua shamba la bibi.
Unatuchanganya; unachanganya story
 
Mwenye kumfahamu Moise
Alizaliwa 28.12.1964 kashobwe DRC karibu na ziwa Mweru mpakani na Zambia, mama yake ni raia wa DRC baba yake ana asili ya uguriki na israel, ni mfanyabiashara na mwanasiasa, aliwahi kuwa govana wa jimbo la Katanga, pia ni mmiliki wa timu ya mpira wa miguu ya tp Mazembe
 
Back
Top Bottom