Moshi25 JF-Expert Member Joined May 6, 2022 Posts 2,555 Reaction score 4,118 Jun 21, 2022 #41 nyongolwe said: Ni utopolo ambao mafanikio ya mpira hudhani yanakuja kwa fitina,matokeo yake ni kutia aibu wakitoka nje ya mipaka ya tanzania. Click to expand... Yanga haikuwa na wachezaji wake tegemeo ndo maana ilipoteza mechi na River United. subiri uone safari hii! The fall of Simba has many colours! Mwaka huu maji mtasema mma!
nyongolwe said: Ni utopolo ambao mafanikio ya mpira hudhani yanakuja kwa fitina,matokeo yake ni kutia aibu wakitoka nje ya mipaka ya tanzania. Click to expand... Yanga haikuwa na wachezaji wake tegemeo ndo maana ilipoteza mechi na River United. subiri uone safari hii! The fall of Simba has many colours! Mwaka huu maji mtasema mma!
Labani og JF-Expert Member Joined Sep 15, 2020 Posts 19,637 Reaction score 29,473 Jun 21, 2022 Thread starter #42 Zuga said: Yanga haikuwa na wachezaji wake tegemeo ndo maana ilipoteza mechi na River United. subiri uone safari hii! The fall of Simba has many colours! Mwaka huu maji mtasema mma! Click to expand... Kwanza naomba Tukutane na al.ahyl tumtwange nyingi
Zuga said: Yanga haikuwa na wachezaji wake tegemeo ndo maana ilipoteza mechi na River United. subiri uone safari hii! The fall of Simba has many colours! Mwaka huu maji mtasema mma! Click to expand... Kwanza naomba Tukutane na al.ahyl tumtwange nyingi
Diazepam JF-Expert Member Joined Dec 3, 2020 Posts 1,263 Reaction score 3,523 Jun 22, 2022 #43 Kwa sababu wamepongezwa na laliga nahisi feitoto na kibwana shomari watasajiliwa pale santiago bernabeu. Utopolo ni litimu likubwa.
Kwa sababu wamepongezwa na laliga nahisi feitoto na kibwana shomari watasajiliwa pale santiago bernabeu. Utopolo ni litimu likubwa.
Beng beng Member Joined Mar 1, 2021 Posts 86 Reaction score 61 Jun 22, 2022 #44 Greatest Of All Time said: Siajajua kama kichwa chako unatumia kama begi la kubebea meno Click to expand... [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Greatest Of All Time said: Siajajua kama kichwa chako unatumia kama begi la kubebea meno Click to expand... [emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Labani og JF-Expert Member Joined Sep 15, 2020 Posts 19,637 Reaction score 29,473 Jun 22, 2022 Thread starter #45 Diazepam said: Kwa sababu wamepongezwa na laliga nahisi feitoto na kibwana shomari watasajiliwa pale santiago bernabeu. Utopolo ni litimu likubwa. Click to expand... Kabisa mkuu....ila ngoja tutukue....kombe la club bingwa
Diazepam said: Kwa sababu wamepongezwa na laliga nahisi feitoto na kibwana shomari watasajiliwa pale santiago bernabeu. Utopolo ni litimu likubwa. Click to expand... Kabisa mkuu....ila ngoja tutukue....kombe la club bingwa