Je unahisi mwanaJF gani yukoje (iwe kisura, umbo, tabia, au personality) kutokana na jinsi unavomuona humu jukwaani?

Je unahisi mwanaJF gani yukoje (iwe kisura, umbo, tabia, au personality) kutokana na jinsi unavomuona humu jukwaani?

Mi nawachukuliaga wadada wengi humu kama wameshika simu, wanajikuna nywele kwa kujipigapiga, kanga kifuani huku vyombo vichafu kwenye sinki.
 
Back
Top Bottom