naomba nambayako mkuu..Kwa yeyote anaeitaji kufuga kuku wa mayai ntamfundisha bure, mimi nafanya kazi ya kufuga kuku ninaumia sana ninapo ona mtu anaajira yake pesa anazo hana ujajanja wa kuingiza kipato kwa ufugaji.
Unachotakiwa kufanya njoo utembelee mabanda yetu ujionee mwenyewe nipo Kibaha Kongowe we ni pm ntakuelekeza kama utaitaji.