Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kahamia CS computer Tena..sio dropzone dodoma..aya bwana
Mbona hujibu hii??Hp laptop, kuanzia corei3 generation ya 6
Ram 8,hdd 500
Nipe bei na picha.
Litapigwa jitu.broo Dunia ya sasa utawapata Wachache sana,una screenshot kwenypage za watu then unaleta humu.
OkLitapigwa jitu.broo Dunia ya sasa utawapata Wachache sana,una screenshot kwenypage za watu then unaleta humu.
Kwanza Nashangaa kwann wenye mamlaka wamekuruhusu kuendelea kulaghai humu nda
Ok Asante kaka mie sio tapel ila kama ndivyo unavyo amini ni sawa lakn sijawai husika na utapel wa aina yoyote nipo Jf toka 2019 kama kuna mtu yoyote nilie wai mtapel anaweza kuja toa ripot hapa.Litapigwa jitu.broo Dunia ya sasa utawapata Wachache sana,una screenshot kwenypage za watu then unaleta humu.
Kwanza Nashangaa kwann wenye mamlaka wamekuruhusu kuendelea kulaghai humu ndani.
Sawa boss nisamehe bure.Ok
Ok Asante kaka mie sio tapel ila kama ndivyo unavyo amini ni sawa lakn sijawai husikia na utapel wa aina yoyote nipo Jf tola 2019 kama kuna mtu yoyote nilie wai mtapel anaweza kuja toa ripot hapa
Sawa boss nakutumia maana bila uhaminifu hakuna biashara yyte inaweza tendekaSawa boss nisamehe bure.
Tufanye wewe sio tapeli.ebu oiga picha full ya hilo duka lako na namba yako hiyo ya simu apo tuone.
Yani hiyo deopezone yako au CS computer page ionekane na namba za simu.
Nisamehe lkn kama nimekukwaza boss
piga hiO namba apo kweny hio screenshot nime screenshot account ya Whatsapp ya boss wanguSawa boss nisamehe bure.
Tufanye wewe sio tapeli.ebu oiga picha full ya hilo duka lako na namba yako hiyo ya simu apo tuone.
Yani hiyo deopezone yako au CS computer page ionekane na namba za simu.
Nisamehe lkn kama nimekukwaza boss
Makumbusho bus stand kalibu na star times Branch office Duka letu utalikutaSawa boss nisamehe bure.
Tufanye wewe sio tapeli.ebu oiga picha full ya hilo duka lako na namba yako hiyo ya simu apo tuone.
Yani hiyo deopezone yako au CS computer page ionekane na namba za simu.
Nisamehe lkn kama nimekukwaza boss
mkuu naomba bei na specifications ya desktop au pc utakayocheza game zote bila kustackMwaka 2019 kabla sijaajiliwa na Company ya kuuza LAPTOP...
Siku moja nilihitaji kununua LAPTOP kwa ajili ya matumizi yangu ya Freelancer niliingia Mtandaoni na kutafuta LAPTOP kutokana na Budget yangu nilipata...
Ilikuwa ni aina ya LogiQ kwa kuwa sikuwa na uelewa mzuri kuhusu LAPTOP nilijikuta najilaumu sana na kujuta baada ya kununua hiyo LAPTOP
Maana:
•Ilikuwa na RAM & HDD ndogo
•Haikuwa na uwezo kwenye Internet
•Ili kuwa na Core ndogo na nitoleo la zamani
•Kibaya zaidi haikuwa inanifaa kwa matumizi ya kazi yangu n.k😢
Haya yote yalisababishwa na kutokuwa na uelewa wa kuchagua LAPTOP nzuri kwa ajili ya matumizi yangu
Kwaiyo baada ya kuajiliwa nilijifunza vitu vya msingi unavyo paswa kuzingatia wakaiti wa kununua Computer au LAPTOP itakayo kufaa kwa matumizi yako na Budget yako...
🛑Wasiliana nasi leo kwa ushauli na kwa maitaji ya LAPTOP nzuri...
Company name:👇🏼
•Lenovo
•Hitachi
•Hp
•Dell
•Toshiba
•Asus
•Acer
••Conditions: Refurbished
💻 Uwezo Core i3 - i7
Ram 4 na kuendelea
Rom 320Gb - 1Tb
🔋Zinakaa na chaji kuanzia masaa 4 na kuendelea.
Bei zinaanzia 399,000/= na kuendelea
✅Ambapo utapata Warranty ya mwaka 1 na
Free support and Basic Software Installation pia Free Delivery kwa DAR ES SALAAM
Call & Whatsapp
☎️0752 663 329
Tupo DAR ES SALAAM
View attachment 2169766
View attachment 2169768
View attachment 2169770
View attachment 2169771
View attachment 2169772
View attachment 2169773