Je unahitaji Ushauri wa Kielimu, kujiajiri au Kujiajiri?

educator2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2013
Posts
395
Reaction score
455
Mnakaribishwa kama unahitaji ushauri kuhusu Elimu (kujiunga na Chuo hasa vyuo vya Ujerumani, South Africa & Botswana pamoja na POSTGRADUATE SCHOLARSHIPS kwa vyuo vya nje) kujiajiri au jinsi ya kupata kazi (ikiwemo uandishi bora wa CV, jinsi ya kujiandaa kabla na ukiwa kwenye Interview. Do's & Dont's/Interview Tips). Wasiliana nami kwa PM. Na nitafurahi kukuelekeza. Asante.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…