Je, unahitaji website nzuri kwa gharama ndogo?

Je, unahitaji website nzuri kwa gharama ndogo?

Reliable Web hosting services
dovee1 (2).jpg
 
Bei kiasi gani maana mna tabia hapa kwenye tangazo mnaandika kwa lugha rafiki halafu mkitafutwa sasa huko inbox mnatoa majibu utadhani mlizi wa Suma JKT.
 
Unaambiwa weka bei halisi , na aina ya hizo website ,,watu wachague unang'angania kuweka namba za simu !
Hata aelewi tunachomuuliza poor customer service ambayo tumezoea kwa wajasiriahela wa Tanzania. Mteja anaulizia A yeye anajibu G, very poor understanding ya customer needs.


Biashara nyingi hazinaga website Tanzania sababu ya usiri wa taarifa kati ya hawa watoa huduma na wateja wao. Mtu anakutangazia huduma unauliza bei gani anakwambia piga hiyo namba hapo, sasa namba ndio jibu la bei?

Mtu anashindwa hata kuprice packages zake, unataka nambia kila mteja akija atakuja na mahitaji tofauti hawatashabihiana au kufanana kidogo japo bei zikaribiane hapo si anakuwa ameshajua bei ya wastani ya kutajia wateja wapya?

Angesema tu hata bwana hapa ndugu zangu tuna website za bei tofauti tofauti kuanzia za laki 1,laki tatu, laki nne laki tano, laki sita hadi milioni.

Anaficha sijui anaficha nn mzee.
 
Hata aelewi tunachomuuliza poor customer service ambayo tumezoea kwa wajasiriahela wa Tanzania. Mteja anaulizia A yeye anajibu G, very poor understanding ya customer needs.


Biashara nyingi hazinaga website Tanzania sababu ya usiri wa taarifa kati ya hawa watoa huduma na wateja wao. Mtu anakutangazia huduma unauliza bei gani anakwambia piga hiyo namba hapo, sasa namba ndio jibu la bei?

Mtu anashindwa hata kuprice packages zake, unataka nambia kila mteja akija atakuja na mahitaji tofauti hawatashabihiana au kufanana kidogo japo bei zikaribiane hapo si anakuwa ameshajua bei ya wastani ya kutajia wateja wapya?

Angesema tu hata bwana hapa ndugu zangu tuna website za bei tofauti tofauti kuanzia za laki 1,laki tatu, laki nne laki tano, laki sita hadi milioni.

Anaficha sijui anaficha nn mzee.
Website haziwahi kuwa bei constant nazani developer wanashindwa kujitangaza vizuri hapa

Developer inabidi aseme gharama zinaanzia bei gani ni ngumu kusema kazi inafanyika kwa bei gani

Bei inatokana na mahitaji ya mteja kama unataka website za bei rahisi utaundiwa skeleton website ambayo google ni ngumu kulink page zako za website
 
Tunawatakia maadhimisho mema ya siku ya muungano.

"Tumeshikamana na Tumeimarika kwa maendeleo ya Taifa letu"

done-complete.jpg
 
Asee afrika ni matatizo sana,ungeanza kutoa maelezo mafupi ya namna hizo website zinavyokuwa na kwa akila categories unaweka price range.
Mfano website yenye mahitaji a.b.c inakuwa na features a.b.c,faida na hasara zeke ni a.b.c na price range ni a.b.c
Hata mtu amabye sio expert kwenye IT anKuwa anaelewa basics,hiyo ya kusubiri hadi mhusika apige simu ni udwanzi.
 
HAPPY NEW MONTH!

Seamless web hosting for a smooth browsing experience.Take control of your online presence with our hosting solutions, Take your website to new heights with our hosting solutions!

New Project (6).jpg
 
Back
Top Bottom