Je, Unaiamini mitandao ya SIMU au taasisi za kutunza pesa kama vile BANK kwa usalama wa pesa zako?

Je, Unaiamini mitandao ya SIMU au taasisi za kutunza pesa kama vile BANK kwa usalama wa pesa zako?

Superfly

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
985
Reaction score
2,066
Nilikuwa nafanya muamala hapa kwa njia ya M-PESA lakini naambiwa "Huduma hii haipatikani kwa sasa" na nipo kwenye situation ambayo bila huu muamala mambo yanakwama. Na hii si mara ya kwanza hali kama hii kutokea.

Ikabidi ni-pause kidogo kufikiria plan B nifanyaje, sasa wazo likanijia, "Hivi haiwezi tokea siku hii mitandao au hizi taasisi zikashikilia pesa zetu kweli??"

Labda in time of crisis or whatever... AF pia nmeshawahi kusikia kuna watu wamefilisiwa hadi pesa zao zilizopo bank kutokana na sababu mbalimbali.

Swali ni je? Ni sahihi kuziamini taasisi kama hizi? Kama si sahihi, njia ipi inaweza kuwa perfect Plan B?

NAWASILISHA.
 
Level ya uaminifu taasisi husika ni inversely proportional to rate ama frequency of your concern na pia ni directly proportional to reliability as for now. Angalia risk ya kuwa na fedha home, hata kama una underground bunker ambazo ni so strong, invincible and impenetrable kama za Israeli.
 
Fikirishi sana plan B muhimu sababu yangu sio usalama wa pesa ama miamala bali ni makato yenye tozo kubwa[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Mkuu Taasisi za Simu hazitunzi Fedha zako..., Taasisi za Simu zinatakiwa na BOT kutunza deposit za watu Bank

Kwa taarifa yako wateja wakubwa wa Bank ni Mitandao ya Simu...., Bila BOT Bank zingekufa..., Unajua zile Mpesa Faida au Tigo Faida unayopata kila mwezi ?, Inatokana na Fedha za Wateja Kukaa Bank hivyo Kupata Interest....., kwahio wanawagawia wateja baadhi ya hizo faida.

In Short Mkuu in this digital Age Mitandao ya Simu ina the upper hand..., hizi Bank ni kwamba tu kisheria mitandao inabanwa unless otherwise wangepumulia mashine.
 
Mkuu Taasisi za Simu hazitunzi Fedha zako..., Taasisi za Simu zinatakiwa na BOT kutunza deposit za watu Bank

Kwa taarifa yako wateja wakubwa wa Bank ni Mitandao ya Simu...., Bila BOT Bank zingekufa..., Unajua zile Mpesa Faida au Tigo Faida unayopata kila mwezi ?, Inatokana na Fedha za Wateja Kukaa Bank hivyo Kupata Interest....., kwahio wanawagawia wateja baadhi ya hizo faida.

In Short Mkuu in this digital Age Mitandao ya Simu ina the upper hand..., hizi Bank ni kwamba tu kisheria mitandao inabanwa unless otherwise wangepumulia mashine.
Hujajibu swali bali umeongeza utata
 
Level ya uaminifu taasisi husika ni inversely proportional to rate ama frequency of your concern na pia ni directly proportional to reliability as for now. Angalia risk ya kuwa na fedha home, hata kama una underground bunker ambazo ni so strong, invincible and impenetrable kama za Israeli.
So risk ya kua na pesa ndani ni kubwa kuliko kuweka bank?
 
Fikirishi sana plan B muhimu sababu yangu sio usalama wa pesa ama miamala bali ni makato yenye tozo kubwa[emoji848][emoji848][emoji848]
Makato nayo yamekua kilio cha wengi..
 
Hujajibu swali bali umeongeza utata
Dhamana ya fedha zako mwisho wa siku ipo kwenye Mabenki / BOT mitandao ya simu inafacilitate tu kwahio nilikuwa nakwambia BOT ndio inasimamia kila kitu, hata mitandao ikifilisika wao ndio wataangalia nio vipi wanaweza kukusaidia (lazima wana assets ambazo zinaweza kuwa liquidify) ili kuwalipa wateja....

All in All hakuna kitu ambacho ni 100% full proof husan mfumo wa pesa wote ni kama DESI tu hio elfu kumi unayodhani ni elfu kumi kweli value yake ni elfu 10 ?..., au vinaweza kutokea vita au taharuki fulani hizo elfu kumi zako mtu akaona bora azichome moto ili kuwashia kuni au atumie kama toilet paper sababu toilet paper ni bei ghali kuliko hio elfu 10
 
Dhamana ya fedha zako mwisho wa siku ipo kwenye Mabenki / BOT mitandao ya simu inafacilitate tu kwahio nilikuwa nakwambia BOT ndio inasimamia kila kitu, hata mitandao ikifilisika wao ndio wataangalia nio vipi wanaweza kukusaidia (lazima wana assets ambazo zinaweza kuwa liquidify) ili kuwalipa wateja....

All in All hakuna kitu ambacho ni 100% full proof husan mfumo wa pesa wote ni kama DESI tu hio elfu kumi unayodhani ni elfu kumi kweli value yake ni elfu 10 ?..., au vinaweza kutokea vita au taharuki fulani hizo elfu kumi zako mtu akaona bora azichome moto ili kuwashia kuni au atumie kama toilet paper sababu toilet paper ni bei ghali kuliko hio elfu 10
Umeelewa alichouliza, au unaandika tuuuu kwa vile umenunuliwa peni mpya!???
 
Ukiona unahifadhi pesa nyumbani jua wewe huna pesa, Imagine Billion 2 unahiifadhi wapi hapo nyumbani kwako B2 ni mzigo sio kidogo.

Na hata ukiweza hifadhi hizo pesa ni kijiweka katika hatari tu ya kupigwa shaba za kichwa na majambazI.

Kuwa na pesa Bank hata Million 3 kuna raha u feel authority, unajifeel kama Wolf Of Wall Street ukicheki Card kwenye wallet.
 
Umeelewa alichouliza, au unaandika tuuuu kwa vile umenunuliwa peni mpya!???
Ukisoma yote hayo point nilizoweka utaelewa hakuna aina moja ya uhakika ya kuweka pesa zako... ndio maana kuna msemo dont put all your eggs in one basket.... na pia kuna kitu kinaitwa investment portfolio pesa zako ziweke huku na kule na kule na kule...... sio sehemu moja. Samahani kama takuchanganya zaidi nakuacha na msemo ambao ni wa kweli kabisa....

"Paper money eventually returns to its intrinsic value — zero" --Voltaire.
 
Ukisoma yote hayo point nilizoweka utaelewa hakuna aina moja ya uhakika ya kuweka pesa zako... ndio maana kuna msemo dont put all your eggs in one basket.... na pia kuna kitu kinaitwa investment portfolio pesa zako ziweke huku na kule na kule na kule...... sio sehemu moja. Samahani kama takuchanganya zaidi nakuacha na msemo ambao ni wa kweli kabisa....

"Paper money eventually returns to its intrinsic value — zero" --Voltaire.
Nadharia ni nyingi zaidi; hilo ndilo tatizo hapa kwetu Bongo Sihami
 
ndio maana kuna msemo dont put all your eggs in one basket.... na pia kuna kitu kinaitwa investment portfolio pesa zako ziweke huku na kule na kule na kule...... sio sehemu moja..

Nachukua hili kama ushauri... Ahsante!
 
Never ever try it at home.
Mawazo yako mkuu. Hela utunzaji wake ni discipline tu whether ni bank au nyumbani sehemu safe au kwenye simu.Kikubwa mipangilio yako
Mkuu Taasisi za Simu hazitunzi Fedha zako..., Taasisi za Simu zinatakiwa na BOT kutunza deposit za watu Bank

Kwa taarifa yako wateja wakubwa wa Bank ni Mitandao ya Simu...., Bila BOT Bank zingekufa..., Unajua zile Mpesa Faida au Tigo Faida unayopata kila mwezi ?, Inatokana na Fedha za Wateja Kukaa Bank hivyo Kupata Interest....., kwahio wanawagawia wateja baadhi ya hizo faida.

In Short Mkuu in this digital Age Mitandao ya Simu ina the upper hand..., hizi Bank ni kwamba tu kisheria mitandao inabanwa unless otherwise wangepumulia mashine.
 
Back
Top Bottom