Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

Je, unaikumbuka show mbovu kabisa iliyowahi kukutokea?

Ukioa mwanamke bikra, omba Mungu sana asije akaonjwa nje.. Siku akiguswa na mwanaume mwingine ndio imetoka hiyo hua wanachanganyikiwa kabisa. Bora uoe ambae ameshazoea anajua kuji control.
Hii kweli kabisa
 
Jamaa alikuwa mzito kama farasi! Yaani aliniegemea mzima mzima nikabaki nahangaika kifua kizito. It was bad for both anyway na haikurudiwa.
 
nyangumi jr, Pole baharia,

Mi ilishawahi kunitokea, enzi hizo niko chuo mwaka wa pili, nilkuwa nawasiliana na deti flan kipindi hicho alikuwa ndo anaingia cha6 simjui wala nini,( nilipewa namba tu na rafiki yake).

Bas mawasiliano yakazid kupamba moto, yule dem alikuwa na saut tamu balaa na mara nyingi demu mwenye sauti nzuri hata sura huwa ni wazuri pia,

Siku zikaenda, miezi ikakatika mara gradu ukafika wakafanya fresh tu na pepa pia wakapiga, walipomaliza harakat ndo zikaanza sasa, tukaelewana ile anatoka shule kwenda kwao bas apite tuonane the asepe.

Kweli safari ikawadia nikamtumia nauli na kweli demu akapanda mchuma kuja, aisee siku hiyo sikwenda hata kwenye kipindi, mida ya jion by saa kumi na mbili hivi bas likafika stendi hapo m nipo maana nikienda kumpokea.

Aiseee asikwambie mtu yan nilitegeshea abiria wote wakashuka, nikapiga ili nione anapokea yupi, demu akapokea buana nikamuona kabla hajaniona ilikuwa pisi moja matata, mtoto white mzuri kila kona yani.

Bas nikajitokeza akaniona tukapanda usafir had geto. Sijui kilinitokea nn aisee yan hamu ilikata gafla tu sikuwa hata na mzuka wa kumgegeda, tukala fresh tu na tukalala yani usiku huo nilipiga shoo MBOVU sijawahi kuona demu alichukia mno nikaanza kujitetea demu hata haelewi yan alilalamika had akaanza kulia.

Nilijitahdi mno wapi, aisee kesho yake asbuh sana nikampa nauli tu aendelee na safari yake na mawasiliano yakakatika toka siku hiyo.

Siku hizi huwa namuona tu mitandaoni yan alishakuwa mzuri mno hasa alipoenda chuo.

Kikubwa nikaja kugundua n hivi papuchi huwa haikamiwi, ukiikamia lazima tu ucheze shoo mbovu.
Hapo mwisho ndio umemaliza kila kitu. Ukitaka kuthibitisha hilo pata mechi ya ghafla halafu fananisha na perfomance yako kwenye mechi unayoiwazia siku kadhaa kabla utaona ya ghafla umeperform vilivyo kuliko ya kuiwaza.
 
Back
Top Bottom