Je unaitaji ndoa??ruhusu kusudi la mungu ;usilazimishe ndoa

Je unaitaji ndoa??ruhusu kusudi la mungu ;usilazimishe ndoa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yawezekana mmoja wa wanaoitaji ndoa
mpendwa mkabidhi bwana atakupa anaekufaa..watu wengi wameolewa kwa kulazimisha ama biila kusudi la mungu kuwepo..na hii imefanya ndoa nyingi kubaki comedy na wengine kuathiri watoto waliozaliwa..kama unahitaji hili ruhusu kusudi la mungu usilazimishe ndoa utajuta,,nasema hili nikiimaanisha kweli utahuduriwa na watu wengi harusi kubwa kesho yake uko kwa mamako mzazi yamekushindqa..atutaki aibu ikutokee mwana jf...sali omba funga...ukiona unamsahau unaemwombea anza chapa lapa mwambie mungu atafute mwingine

Ndoa njema zitakazo fungwa wiki hii
 
Yawezekana mmoja wa wanaoitaji ndoa
mpendwa mkabidhi bwana atakupa anaekufaa..watu wengi wameolewa kwa kulazimisha ama biila kusudi la mungu kuwepo..na hii imefanya ndoa nyingi kubaki comedy na wengine kuathiri watoto waliozaliwa..kama unahitaji hili ruhusu kusudi la mungu usilazimishe ndoa utajuta,,nasema hili nikiimaanisha kweli utahuduriwa na watu wengi harusi kubwa kesho yake uko kwa mamako mzazi yamekushindqa..atutaki aibu ikutokee mwana jf...sali omba funga...ukiona unamsahau unaemwombea anza chapa lapa mwambie mungu atafute mwingine

Ndoa njema zitakazo fungwa wiki hii
dah unamcommand Mwenyezi
 
mkuu hebu tupe darasa zaidi, kivipi Mungu atakupa mke baada ya kuomba
 
Yawezekana mmoja wa wanaoitaji ndoa
mpendwa mkabidhi bwana atakupa anaekufaa..watu wengi wameolewa kwa kulazimisha ama biila kusudi la mungu kuwepo..na hii imefanya ndoa nyingi kubaki comedy na wengine kuathiri watoto waliozaliwa..kama unahitaji hili ruhusu kusudi la mungu usilazimishe ndoa utajuta,,nasema hili nikiimaanisha kweli utahuduriwa na watu wengi harusi kubwa kesho yake uko kwa mamako mzazi yamekushindqa..atutaki aibu ikutokee mwana jf...sali omba funga...ukiona unamsahau unaemwombea anza chapa lapa mwambie mungu atafute mwingine

Ndoa njema zitakazo fungwa wiki hii

Asante mwaya,kutukumbusha...
 
Aisee siyo mungu ni MUNGU!! ni kweli uliyoyasema bila Mungu hakuna kinachowezekana. Ila kuna wengine huwa wanasali wanapokuwa tayari wanamtu kichwani wanayemfikiria hivyo wanamwomba tu awapigie mhuri sizani kama inafanya kazi.
 
Back
Top Bottom