Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Yawezekana mmoja wa wanaoitaji ndoa
mpendwa mkabidhi bwana atakupa anaekufaa..watu wengi wameolewa kwa kulazimisha ama biila kusudi la mungu kuwepo..na hii imefanya ndoa nyingi kubaki comedy na wengine kuathiri watoto waliozaliwa..kama unahitaji hili ruhusu kusudi la mungu usilazimishe ndoa utajuta,,nasema hili nikiimaanisha kweli utahuduriwa na watu wengi harusi kubwa kesho yake uko kwa mamako mzazi yamekushindqa..atutaki aibu ikutokee mwana jf...sali omba funga...ukiona unamsahau unaemwombea anza chapa lapa mwambie mungu atafute mwingine
Ndoa njema zitakazo fungwa wiki hii
mpendwa mkabidhi bwana atakupa anaekufaa..watu wengi wameolewa kwa kulazimisha ama biila kusudi la mungu kuwepo..na hii imefanya ndoa nyingi kubaki comedy na wengine kuathiri watoto waliozaliwa..kama unahitaji hili ruhusu kusudi la mungu usilazimishe ndoa utajuta,,nasema hili nikiimaanisha kweli utahuduriwa na watu wengi harusi kubwa kesho yake uko kwa mamako mzazi yamekushindqa..atutaki aibu ikutokee mwana jf...sali omba funga...ukiona unamsahau unaemwombea anza chapa lapa mwambie mungu atafute mwingine
Ndoa njema zitakazo fungwa wiki hii