Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Swali na msingi sana hili,. Wakikujibu nitag🤒Maendeleo ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali na msingi sana hili,. Wakikujibu nitag🤒Maendeleo ni nini?
Naomba unitafsirie hiyo lugha ya malkiaCompeting with yourself means,to set a goal tougher than your last goal and trying to accomplish that task,
Look in the mirror,make youself your own competitor for self improvement.
Mimi nahisi Kuna kameseji kazuri hapa nilipoona ona neno waste ngoja atutafsrieNaomba unitafsirie hiyo lugha ya malkia
Unategemea mwakani!!! Unachekesha!! Hela ambayo hujaishika usiipigie mahesabuInategemea mfano mimi nina rafiki yangu mjeda ana spacial alinunua m7 ana vimba kitaa hai kama zote lakini mimi nimepanda miti pine aple hekali 4 na michenza eka hekali 3 sahiv miti ina miaka mitano na michenza ina miaka mitano nimeanza kuvuna machenza hekali hizo tatu kila mti nimepewa 20000@200=4000000 kwa ekali mwakani mavuno yatakuwa mengi kupewa 30000 kwa miti 200 ni kawaida so naona kama ipo ipo tu ni kuset mipango
For me, that's mirror act as people around in life so I need them to have new challengesCompeting with yourself means,to set a goal tougher than your last goal and trying to accomplish that task,
Look in the mirror,make youself your own competitor for self improvement.
Amesema hivi... Uache kujifananisha na wengine.Naomba unitafsirie hiyo lugha ya malkia
Mkuu umesahau kumaliza na ile kauli yako ya "live the life you love, love the life you live" tena kwenye huu uzi Ndio ingekuwa accurate na relevant zaidi, comparison is the thief of happiness 🙂🙂Don't waste ur precious time and energy competing with others,
Be happy and accept yourself,Only compete with yourself to become better.
Asante!Amesema hivi... Uache kujifananisha na wengine.
Je, unajiskiaje wenzako wa rika lako wakiwa mbele kimaendeleo Yani wamekuacha.
Hujambo?? Wenzako mlio soma nao wanamagorofaAsante!
Kumbe upo vizuri kwenye lugha ya malkia
Acha tu! Wengine wana watoto, wameolewa, wengine wameshakufaHujambo?? Wenzako mlio soma nao wanamagorofa
Very true mkuu,Mkuu umesahau kumaliza na ile kauli yako ya "live the life you love, love the life you live" tena kwenye huu uzi Ndio ingekuwa accurate na relevant zaidi, comparison is the thief of happiness 🙂🙂
Wewe si ulisema hutaki kuolewa Kwa SASA.Acha tu! Wengine wana watoto, wameolewa, wengine wameshakufa
Pesa unatakiwa uipigie mahesabu kabla hujaikamata ili ukiikamata tu moja kwa moja inaenda kwenye malengo yako. Ukishika pesa ndio uanze kuipigia mahesabu utajikuta hujafanya la maana sana. Kwanza kuna kile kitu kinaitwa wenge la pesa. Kama ulikuwa unakula kwa mama ntilie utaanza kuwaona wachafu, paso unaloendesha utaliona kama guta nk.Unategemea mwakani!!! Unachekesha!! Hela ambayo hujaishika usiipigie mahesabu