Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

M Mungu katupendelea sana kutuepusha Afrika na hawa ma-Apartheid. Hakika tusingepumua hata kidogo. Afrika nzima tungekuwa watumwa, si nchi husika tu bali Afrka nzima.

Kwa hili sinabudi kumshukuru sana M Mungu.
 
Back
Top Bottom