As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,538
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.
Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=
Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.
Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.
Nawasilisha!!!
Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=
Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.
Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.
Nawasilisha!!!