Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Je unajua kwamba kuoa ndiyo njia rahisi zaidi ya kupata tendo la ndoa tena kwa bei nafuu

Hahaha!!! Wasio na hela eti wao ndo wanaongoza kuoa!!!
Kuna mkaka alinifata eti "dada nimekua nakufuatilia mda mrefu, nataka uwe mke wangu!!"
Nikamuuliza swali rahisi sana, "nipe sababu mbili tu kwanini unataka kunioa?" Akasema "moja nikwamba nakupenda saana na pili nataka mtu wa kusaidiana nae kimaisha!" Hali ngumu! Jamani nilichekaaa!!!

Yaani unataka kunioa ili kujikwamua kiuchumi!!! Alikua muwazi ila hapana!!! Akija tajirika huyu si ndo atanitelekeza kabisaa! Au ikatokea hali yangu kiuchumi ikayumba ai atatafuta mwingine!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!
Wewe unaye chekelea kupiga mzigo kwa bei chee kwa kuwa ni mkeo umesahau uboya wako kuwa mzigo una hisa nje ya ndoa nje wanaukupigia kwa 30000

Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu Wanajamvi kama kichwa cha habari kinavyojieleza Leo hii kumekithiri Malalamiko ya Vijana Mabarobaro (bachelors) kwamba wanachunwa na Vidada vya Mjini sasa Kero hii imepata ufupumbuzi.

Nini cha Kufanya? Chamsingi kwa kijana anayejitambua anabidi atafute Mmoja wa Ukweli kisha amuowe kwamfano angalia unaoa unalipa mahari milion 1.5, afu unakaa nae zaidi ya miaka 20. Sawa na zaidi ya miez 250.
Ina maana kwa mwezi mmoja unalipa Tshs. 6000/=
Kwa wiki moja unalipa Tshs.1500/=
Na kwa siku Tshs 215/=

Kwann ukanunue mwanamke kwa zaidi ya Tshs 30,000/= na gharama ya chipsi kuku na Pepsi afu akupe mapenzi kwa raundi mbili tu, wakati ungekua umeoa ungekuwa unalipa TSHS 215/= na unapiga mzigo raundi kibao mpk utosheke mwenyewe.

Nenda kaoe wewe upige mzigo kwa bei nafuu acha uboya wa kulipa pesa nyingi kwa penzi la siku moja.

Nawasilisha!!!
 
Back
Top Bottom