Je unajua Mawigi na Rasta Zinatoka wapi?

hahahhahaha..................

usilolijua ni kama usiku wa ngiza.

wataalam wa composite science watatuleza tofauti.

well, hiyo sio kweli at least for me.

We unaishi dunia ipi hujui kuwa watu haswa Hispanics, Asians wanauza sana nywele zao ili zikatengenezwe mawigi? Hii niliona wakati wa economoc melt down 2008-2009 Ulaya wanawake walikuwa wakiuza nywele zao.
 

Suala hapa sio kuuza damu wala figo !!
Issue hapa nywele ulizo vaa zinatolewa kwa miungu India (Mashetanai wa India)
Ni sawa na mtu anatoa kafara Mbuzi Makaburini kwa ajiri ya mizimu harafu wewe unakwenda kula
Mgogoro wa kuchinja wanyama hapa TZ ulijitokeza baada ya kubainika kuwa Waislamu wanatoa kafara mnyama yoyote wanaye njinja kwa mungu wao!!
Hapo ndipo Maaskofu walipo hoji hadi leo hilo halijatulia
 

I have been to India 6 times sijaona huo umasikini unaousema in fact ni nchi inayoendelea kwa kasi sana na sisi "matajiri" itatuchukua miaka pengine 100 kufikia ilipofika sasa
 
I have been to India 6 times sijaona huo umasikini unaousema in fact ni nchi inayoendelea kwa kasi sana na sisi "matajiri" itatuchukua miaka pengine 100 kufikia ilipofika sasa

Ww umekaa kwa matajiri, rafki yangu India kuna baadhi ya maeneo maskin wa kutupwa. Fukara haswa. Ila kuna sehem ni kweli ukiwepo wala hufkiri km kuna maskin wanolala nje na kwenye slumdog
 
Ww umekaa kwa matajiri, rafki yangu India kuna baadhi ya maeneo maskin wa kutupwa. Fukara haswa. Ila kuna sehem ni kweli ukiwepo wala hufkiri km kuna maskin wanolala nje na kwenye slumdog

Hakuna nchi isiyo na masikini hata USA wapo ombaomba ila sikubaliani na wewe unavyosema kuwa India kama nchi ni masikini kabla ya kujenga hoja unatakiwa uchukue walau dakika chache ukusanye data then ndio ulete hoja.

Mkuu India isikie watu wakisema tu, jamaa wapo mbali sana kiuchumi na kitechnologia wana mji unaitwa Bangalore wenyewe wanauita IT city hapo ndio kwenye makao makuu ya kampuni ya software ya mahesabu ya tally.

Jamaa wana assemble magari kuanzia Chevloret, Nissan, marcedes etc. Ni wazalishaji wakubwa wa pamba wana viwanda vya nguo na makampuni makubwa ya nguo kama mark and Spencer wana viwanda vyao.

Mjini wa bangalore una fly over ya 60 km from airport to city centre.

Jaribu kupitia hizi links upate kutoa tongo za macho na pamba za masikio.

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Automotive_industry_in_India

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Textile_industry_in_India

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Information_technology_in_India

Ikiwa hapa bongo wacheza movies wanabangaiza angalia wahindi wanavyochangia pato la taifa kupitia hiyo industry.

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Entertainment_industry_in_India

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Category:Shipbuilding_companies_of_India

Wana viwanda vya cement, chuma, chai, Madawa etc etc

Kubali kuwa itatuchukua miaka mingi kuweza kuwafikia hawa jamaa
 

Nakubaliana na unachoongea. Ila nimekupinga kusema kuwa u have been in India 6 times hukuona huo umaskini wa watu kufikia kuuza nywele. Ndo nkakwambia kuna sehem India watu wana hali mbaya so hili la kuuza nywele linawezekana pia.
 
Baadhi ya watanzania ukigusa pahala ambapo kunamasilahi yake anakuwa mkali hata kama ni ya kijinga,ukali wao huwa kama mtu aliyeshikwa makalioni
 
Nakubaliana na unachoongea. Ila nimekupinga kusema kuwa u have been in India 6 times hukuona huo umaskini wa watu kufikia kuuza nywele. Ndo nkakwambia kuna sehem India watu wana hali mbaya so hili la kuuza nywele linawezekana pia.

Nimekujibu kuwa sio India pekee yenye masikini hata USA wapo ombaomba ila sikubaliani na wewe unavyosema kuwa India kama nchi ni masikini.

Tatizo lako unatia chumvi nyingi sana mkuu.
 
Nimekujibu kuwa sio India pekee yenye masikini hata USA wapo ombaomba ila sikubaliani na wewe unavyosema kuwa India kama nchi ni masikini.

Tatizo lako unatia chumvi nyingi sana mkuu.

Wapi uliponi quote km nimesema India nchi maskini?

Kwanza mi ht sio wa mwanzo ulieni quote sema nimeingia katikati tu km mchuzi wa mseto.

Mada hapa ni nywele za bandia, na inasemekana huko India wahindi wanauza nywele zao ili wapate chcht cha kujikidhi. Kutokana na umaskin wa baadhi yao. Mi sijasema km India ni nchi maskini. Sheikh Mohammed
 
bas sawa.... muda mwingi but muda mchache{yani siku mojamoja} kama kawa una 2pia wiglace lako.. vizuri!!!!

ndiyo hivyo na mimi nirushe nywele nyuma kwa nini wazungu tu wakati nywele zipo dukani aku mie
 

Okay mkuu sio nchi masikini ila ina watu masikini kama nchi nyinginezo duniani.
 
We unaishi dunia ipi hujui kuwa watu haswa Hispanics, Asians wanauza sana nywele zao ili zikatengenezwe mawigi? Hii niliona wakati wa economoc melt down 2008-2009 Ulaya wanawake walikuwa wakiuza nywele zao.
Tena Wabudha huwa na sherehe/tambiko lao fulani hv ambalo hulazimika kukata nywele for a new start!! hizo nazo ni miongoni mwa nywele ambazo mashosti wa kibongo wanatoka nazo!
 
Baadhi ya watanzania ukigusa pahala ambapo kunamasilahi yake anakuwa mkali hata kama ni ya kijinga,ukali wao huwa kama mtu aliyeshikwa makalioni
tena mmepiga Ikulu ya wachonga ngenga, mtawakomaje!! yaani wenyewe wametokelezea afu muwaambie nywele zao ni za maskin wa India ambazo waliuza wapate mkate!!
 
I have been to India 6 times sijaona huo umasikini unaousema in fact ni nchi inayoendelea kwa kasi sana...

India ni kweli, wamepiga na wanapiga hatua tena kwa sana... wame-advance sana kwenye IT nd other related fields hata hivyo economic advancement ya India inakuwa absorbed by large population na hivyo kutokuwa na +ve effect kwa wengi wao! pale uchumi wa India ulipo ni wa ku-cater a population of not more than 200m but now serving a popn of 6 times as much!
 
nawasiwasi na matatizo ya uzazi iz nywele kuwa ndo chanzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…