Je unajua ni kwanini ndege wana jeuri ya kutua kwenye umeme wa 33Kv and below lakini wanaiogopa GRIDI YA TAIFA 220Kv

Je unajua ni kwanini ndege wana jeuri ya kutua kwenye umeme wa 33Kv and below lakini wanaiogopa GRIDI YA TAIFA 220Kv

DAGHI

Senior Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
186
Reaction score
401
Wakuu tulioambiwa wana magamba miguuni tulipigwa...Ngoja niwamegee ILIM 'SHEKH'. Ukizunguka mtaani utaona ndege wa aina tofauti wanatua kwenye nyaya za umeme wenye VOLTAGE kama 230V, 11Kv, 33Kv na hawaoneshi dalili yeyote ya kupigwa shoti.

Lakini ukipita kwenye gridi ya taifa 220Kv utawaona wametua kwenye waya wa juu kabisa ambao ni EARTH (zero potential ) wanaziogopa waya zenye moto, you know why?

Kwanza kabisa kinachomuua kiumbe hai ni CURRENT sio VOLTAGE, hivyo ili kiumbe kipigwe shoti lazima CURRENT ipite mwilini. So katika umeme mdogo 33Kv and below ndege wanatua bila shida coz hakuna CURRENT inayopita kwenye miili yao kwa kuwa ni OPEN CIRCUIT , yani kwa kugusa waya mmoja circuit inakua haijakamilika ila kinachopita ni VOLT tu yenye 60Hz frequency . Hivyo ukimpima ndege huyo umeme wake with respect to ground ni sawa na umeme wa kwenye waya aliokanyaga.

Balaa inakuja kwenye GRIDI 220Kv, Kwenye umeme mkubwa kama huo unazalisha mionzi mikali(electric fields) zenye uwezo wa kuivunja hewa inayozunguka hivyo kuzalisha CURRENT. Hiyo ni sababu ya kusikia sauti kama vile waya zina vibrate. So kiumbe hai chochote kikipita karibu na waya ule kitavutwa kwa mtindo wa sumaku na CURRENT hio inatosha kabisa kuua. google ''CORONA IN ELECTRICITY'. Karibuni muongezee wakuu.

ff.PNG

f.PNG
 
Ingekuwa wanaweza kusimama kwenye 220kv halafu kwenye 33kv ndipo wanaogopa hapo ndio ingekuwa ajabu.
 
Wakuu tulioambiwa wana magamba miguuni tulipigwa...Ngoja niwamegee ILIM 'SHEKH'. Ukizunguka mtaani utaona ndege wa aina tofauti wanatua kwenye nyaya za umeme wenye VOLTAGE kama 230V, 11Kv, 33Kv na hawaoneshi dalili yeyote ya kupigwa shoti.

Lakini ukipita kwenye gridi ya taifa 220Kv utawaona wametua kwenye waya wa juu kabisa ambao ni EARTH (zero potential ) wanaziogopa waya zenye moto, you know why.. ?

Kwanza kabisa kinachomuua kiumbe hai ni CURRENT sio VOLTAGE, hivyo ili kiumbe kipigwe shoti lazima CURRENT ipite mwilini. So katika umeme mdogo 33Kv and below ndege wanatua bila shida coz hakuna CURRENT inayopita kwenye miili yao kwa kuwa ni OPEN CIRCUIT , yani kwa kugusa waya mmoja circuit inakua haijakamilika ila kinachopita ni VOLT tu yenye 60Hz frequency . Hivyo ukimpima ndege huyo umeme wake with respect to ground ni sawa na umeme wa kwenye waya aliokanyaga.

Balaa inakuja kwenye GRIDI 220Kv, Kwenye umeme mkubwa kama huo unazalisha mionzi mikali(electric fields) zenye uwezo wa kuivunja hewa inayozunguka hivyo kuzalisha CURRENT. Hiyo ni sababu ya kusikia sauti kama vile waya zina vibrate. So kiumbe hai chochote kikipita karibu na waya ule kitavutwa kwa mtindo wa sumaku na CURRENT hio inatosha kabisa kuua. google ''CORONA IN ELECTRICITY'. Karibuni muongezee wakuu.View attachment 3169017
View attachment 3168986
Hukupigwa ila ulifundishwa kulingana na level uliyokua kipindi hicho. Suala kubwa inapokuja kuhusu kupigwa short ni stregth ya insulation iliyopo. Umeme unavyozidi kuwa mkubwa insulation ya kuzuia usipigwe short inazidi kuwa kubwa. Ndio maana kwenye umeme mdogo insulation waliyonayo miguuni inawazuia wasipigwe short kuliko umeme mubwa.
 
Nimekaa kijereshi sub station tanesco.korongo walikua wakishiba nyama machinjioni kijereshi wanaenda kwa waya unasikia tu mbaaaa korongo anashuka kateketea kawa mishikaki
Serengeti !
 
TANZANIA Hio mkuu hata huo umeme nyumbani kwako ni 60Hz frequency
Duuuh, nimekaa kaa karibu na matransifoma, nasikia yakiunguruma kwa frequency ya 50Hz, pengine masikio yangu yana shida!
- Naona bulb yangu imeandikwa 220V, 50Hz
 
Duuuh, nimekaa kaa karibu na matransifoma, nasikia yakiunguruma kwa frequency ya 50Hz, pengine masikio yangu yana shida!
- Naona bulb yangu imeandikwa 220V, 50Hz
Yah Tanzania tunatumia 230 yenye 50Hz.
 
Yote kwa yote kitu ambacho huwa nawakubali wenzetu ni kitendo cha kuweza kusolve ishu ya power loss.

P = I²R

Hadi

P = VI

Unaweza ukaona kama kitu kidogo sana ila ilichukua muda mrefu sana kujua namna bora ya transmission.
 
Naomba kuuliza, hiyo 60Hz ni hapa hapa au nnji za nnje?
- Au Gridi(kama unavyoiita) ndo ina 220kV na 60Hz?
Yuko marekani kwenye 110volt 60Hz, kwenye 220 mpaka 240volt ni 50Hz. Msamehe kwani anagugo.
Ili umeme ukupige shoti unatakiwa uguse waya chanya na hasi(hasi si lazima uwe waya, ardhi inatosha), karenti husafiri toka hasi kwenda chanya na si kinyume chake kama wengi wanavyodhani.
 
TANZANIA Hio mkuu hata huo umeme nyumbani kwako ni 60Hz frequency
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom