- Thread starter
- #21
Mko sawwa wakubwa sema unapimaje frequency kwa masikio?Duuuh, nimekaa kaa karibu na matransifoma, nasikia yakiunguruma kwa frequency ya 50Hz, pengine masikio yangu yana shida!
- Naona bulb yangu imeandikwa 220V, 50Hz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mko sawwa wakubwa sema unapimaje frequency kwa masikio?Duuuh, nimekaa kaa karibu na matransifoma, nasikia yakiunguruma kwa frequency ya 50Hz, pengine masikio yangu yana shida!
- Naona bulb yangu imeandikwa 220V, 50Hz
Mainjinia wakubwa hao wa umemeMko sawwa wakubwa sema unapimaje frequency kwa masikio?
Hata mm nimeshangaa tumongezee hawawe kusimama hata 550 kv vp anaendelea kushangaa ina maana hajui sabb n8 nnIngekuwa wanaweza kusimama kwenye 220kv halafu kwenye 33kv ndipo wanaogopa hapo ndio ingekuwa ajabu.
Inazidi kua ndogo sio insulation inakua kumwaHukupigwa ila ulifundishwa kulingana na level uliyokua kipindi hicho. Suala kubwa inapokuja kuhusu kupigwa short ni stregth ya insulation iliyopo. Umeme unavyozidi kuwa mkubwa insulation ya kuzuia usipigwe short inazidi kuwa kubwa. Ndio maana kwenye umeme mdogo insulation waliyonayo miguuni inawazuia wasipigwe short kuliko umeme mubwa.
Asante.Yah Tanzania tunatumia 230 yenye 50Hz.
Hadi unajiuliza hivi TISS ipo kweli?
Naona maluwe luweElectrons flow from negative to positive but current flow from positive to negative.