Je unajua ni kwanini ndege wana jeuri ya kutua kwenye umeme wa 33Kv and below lakini wanaiogopa GRIDI YA TAIFA 220Kv

Duuuh, nimekaa kaa karibu na matransifoma, nasikia yakiunguruma kwa frequency ya 50Hz, pengine masikio yangu yana shida!
- Naona bulb yangu imeandikwa 220V, 50Hz
Mko sawwa wakubwa sema unapimaje frequency kwa masikio?
 
Ingekuwa wanaweza kusimama kwenye 220kv halafu kwenye 33kv ndipo wanaogopa hapo ndio ingekuwa ajabu.
Hata mm nimeshangaa tumongezee hawawe kusimama hata 550 kv vp anaendelea kushangaa ina maana hajui sabb n8 nn
 
Inazidi kua ndogo sio insulation inakua kumwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…